Yaani wewe unaonaje?Sijakuelewa Paprika
Sio 20 miaka ya mwishoni mwa ishirini 29
MmmmmhBaba yako anajua kweli nyingi kuhusu mwanamke maana ameshalala na wengi, mama yako amespecialize kwa wanaume pekee, so chagua nani wa kumfuata hapo.
Fuatana nami, hivi sasa una miaka 29.Ikiwa utaamua kuoa mwakani utakuwa na miaka 30.Mungu akikujalia mapema utapata mtoto wa kwanza ukiwa no miaka 31.Atakapofikisha miaka 7 ataanza darasa la kwanza, wewe utakuwa na miaka 38.Atahitimu darasa La saba miaka saba baadaye wewe utakuwa na miaka 45.Atakapohitimu kidato cha sita utakuwa na miaka 52 hivi. Then atajiunga na chuo na kuhitimu hapo ni miaka 4 wewe utakuwa na 56(hiyo ni miaka ya kustaafu). Hapo ni mpaka itokee ameenda straight bila kukwama mahali (hajasoma vicourse vya equivalent).Hapo wakumsikiliza ni Mama,Nafsi yako na huyo Mchumba
Basi wasikilize wao kama unawategemea 100% mbona unahangahika kuomba ushauri na wao wametofautiana kukupa ushauri...............jiishauri mwenyew na usimamie huo msimamo wakoSawa ila nao niwashauri wetu
Nashukuru sana Mkuu kwa ufafanuzi mzuriiFuatana nami, hivi sasa una miaka 29.Ikiwa utaamua kuoa mwakani utakuwa na miaka 30.Mungu akikujalia mapema utapata mtoto wa kwanza ukiwa no miaka 31.Atakapofikisha miaka 7 ataanza darasa la kwanza, wewe utakuwa na miaka 38.Atahitimu darasa La saba miaka saba baadaye wewe utakuwa na miaka 45.Atakapohitimu kidato cha sita utakuwa na miaka 52 hivi. Then atajiunga na chuo na kuhitimu hapo ni miaka 4 wewe utakuwa na 56(hiyo ni miaka ya kustaafu). Hapo ni mpaka itokee ameenda straight bila kukwama mahali (hajasoma vicourse vya equivalent).
Sasa let say utakuwa na watoto 3 waliopishana miaka mitatu(rejea matatizo ya uzazi enzi hizi mama anatakiwa apate muda mrefu kidogo kupishanisha) hivyo mtoto huyu wa mwisho atahitimu chuo ukiwa na 65.
Samahani mkuu hivi kwa sasa life expectancy kwa Tanzania ni ngapi vile?
(Mkuu niliye ku-qoute samahani nilikusudia kumquote mtoa mada. Hii nime edit)