Baba halali hapa ni yupi :

Baba wa mtoto ajulikana kwa mama tu.
Wapo watoto wengi wamepewa baba ambao sio wazazi wao hali bali waliosex mara moja na mama.
Wapo ambao baba zao halisi waliwakataa ama kwa kuhisi wanasingiziwa, ama kwa kuogopa msala kwa bi mkubwa, lakini baba wengine walibambikiziwa na watakubali.

Huyo mchukueni tu huenda ni wenu,maana yawezekana wewe unajua kuwa tangu 2015 hawakuwa pamoja kumbe Kila siku wako pamoja wewe hujui tu.

Mchukueni tu
 
ahaah, wanawake ni mtihani
 
mtoto akuambiwa, maana baba yake ambae sio halali amekufa yeye akiwa na miaka miwili, mpk leo anajua baba Yake kasafiri
 
Marehemu alikufa kifo cha aina gani, awe muangalifu huyo Mwanamke ili ndugu wa marehemu wasije wakahusisha Koro cha ndugu yao na zoezi zima la ubini wa mtoto
Namaanisha wasije wakawa na hisia kwamba Mwanamke na Mzazi mwenzie wameshiriki kummaliza jamaa ili wafanye wanachokitaka
 
...Mkuu, kama mwanamke alikuwa muhangaikaji sana hata yeye mwenyewe wakati mwingine hajui Baba wa mtoto wake.....wewe kwa mwezi mmoja anapigwa na wanaume wanne tofauti, atajuaje yupi ni yupi???
Tuishi nao kwa akili...
 
...Umenena vyema Mkuu. Huyo mwanamke hajatulia hali kadhalika ndugu yako.
Wamuache mtoto abaki kuwa mtoto wa Marehemu, basi!
Hayo mengine yabaki kuwa siri ya mioyoni mwao.
...fikiria leo hii ndugu yako kumuibukia mkewe na kumletea mtoto na kumuambia huyu mtoto baba yake amefariki lakini alikuwa mwanangu sasa namrudisha nyumbani!!!!....
 
pana ukweli hapa pia,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…