Baba halali hapa ni yupi :


Ngoja waje wataalamu wa mambo..
 
Sio suala la kuuliza kuna DNA aende akapime
Taratibu zake zipoje hapo, je ndugu wa marehemu wakisikia mtoto Wa marehemu kaka yao kapewa mtu mwingine haiwi vita kweli
 
DNA kwanza huo upuuzi wa vyeti cjui majina utafata
 
Kubadili jina si tatizo, ajiridhishe kwanza Kama mtoto ni wake.
Loss report, kwamba birth certificate is lost.
Pata kingine.
Au ata hati ya kiapo kubadili majina.
Baba halali ni baba yeyote: iwe biological au wa kufikia.
Nina jirani yangu mkewe ana mtoto ila inside news ni kwamba baba halali alikuwaga anapiga simu kumjulia hali na kuleta zawadi kwa kificho.
Mtoto anafanana na mama, ni mweusi kama mume wa ndoa.
Siri sirini: ndiyo maana wanawake wengi hawapendi kitu DNA
Anayejua baba wa mtoto ni mama tu!
Wanawake heshima kwenu.
Akil kumkichwa
 
Ana mke na watoto then bado anamhitaji huyo wa nje ili iweje?

Tupe story ya upande wa pili kwa nn anataka amhalalishe huyo mtoto mpaka majina? Kuna kitu nyuma ya pazia ambacho huyo ndugu yako anakitafuta.

Na huyo mwanamke alimpa taarifa ndugu yako ili iweje? Yani alikuwa anamjulisha tuu aujue ukweli ama amemjulisha kwa lengo la kupata masaada wa malezi?
 
Umenena vyema.
 
kimbembe kipo kwenye ndugu wa marehemu, vyovyote watakavyo react inabidi muwe wapole maana inauma
 
Sidhani Kama nia ni msaada wa malezi. Nadhani alikuwa anafeel guilty mtoto kutomfahamu baba halisi wakati yupo hai. Anafanya hivyo kwaajili ya mtoto, ni vizuri kumfahamu mzazi wako no matter what happened.
 
Huko ni kuharibu saikolojia ya watoto tuu. Mtoto anajua baba ake alishakufa then leo unamwambia baba ako halali ni huyu. Kwanza ili iweje? Na itamsaidia nn huyo mtoto.

Cha msingi huyo jamaa kashajua ni mtoto wake basi inatosha, sioni haja ya kumwambia mtoto.
Sidhani Kama nia ni msaada wa malezi. Nadhani alikuwa anafeel guilty mtoto kutomfahamu baba halisi wakati yupo hai. Anafanya hivyo kwaajili ya mtoto, ni vizuri kumfahamu mzazi wako no matter what happened.
 
Mmh haya
 
Kabla ya DNA wamwangalie kwa macho ya kawaida tu, mbona mara nyingi huwa yana majibu sahihi
Macho kama hayaridhiki ndo utumie DNA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…