Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Baba Askofu Bwana Yessu Apewe sifa zinazomstaili!
Tumsifu Yessu Kristo.
Baba Askofu kwanza ninakushukuru, kwa Afya Yako HEKIMA Yako na upako wako hakika U mwana wa Mungu.
BabaAskofu umembatiza Mbunge wa kinondoni Jina AMBALO linaakisi matendo yake kabla na baada ya kuwa mbunge sisi wananchi wake tunakushukuru sana Jina ponjoro litatusaidia uko mbele.
Baba Askofu tunaomba pia umbatize huyu mtu aliyejitanabaisha kuwa kada wa chama Cha mapinduzi,aliyejiunga kuwinda teuzi mwisho akaishia kufilisiwa na mfumo kwa sababu ya kuto jielewa
Baba Askofu Pascally Mayalla ni miongoni mwa watanzania wachache wanao jiita wanasheria najiuliza mwanasheria anafilisiwajw na mfumo?
Anajiita mwanahabari hasiye na uwezo wa kujinganga, ebu naomba umbatize Jina lake jipya.
Baba Askofu huyu Pascally kupitia jf amekutaka usilianmshe Dude na wewe umeisha liamsha Dude achutame yeye
Tumsifu Yessu Kristo.
Baba Askofu kwanza ninakushukuru, kwa Afya Yako HEKIMA Yako na upako wako hakika U mwana wa Mungu.
BabaAskofu umembatiza Mbunge wa kinondoni Jina AMBALO linaakisi matendo yake kabla na baada ya kuwa mbunge sisi wananchi wake tunakushukuru sana Jina ponjoro litatusaidia uko mbele.
Baba Askofu tunaomba pia umbatize huyu mtu aliyejitanabaisha kuwa kada wa chama Cha mapinduzi,aliyejiunga kuwinda teuzi mwisho akaishia kufilisiwa na mfumo kwa sababu ya kuto jielewa
Baba Askofu Pascally Mayalla ni miongoni mwa watanzania wachache wanao jiita wanasheria najiuliza mwanasheria anafilisiwajw na mfumo?
Anajiita mwanahabari hasiye na uwezo wa kujinganga, ebu naomba umbatize Jina lake jipya.
Baba Askofu huyu Pascally kupitia jf amekutaka usilianmshe Dude na wewe umeisha liamsha Dude achutame yeye