exiled baby
Member
- Sep 2, 2016
- 60
- 43
Utakuwa na cheti feki....umesalimika mkuu!Ukipata mshahara mwezi huu hata kama hamna nyongeza unapeleka shukurani kwa mola wako kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi salio limeongezeka Leo asubuhi saa 4 hivi!Hata mm bdo
Mimi ni mtu wa kawaida tu lazima ifike sehemu tushukuru Mungu kwa kila kitu alichotujalia.
Ahsante mkuu nimeupata saa 7mchanaMshahara umeshatoka bank zote kama wa kwako haujatoka wasiliana na HRO wako kwa ufafanuzi
Kafanyaje uyo rafikiUshauri wa buree kwa watumishi wenzangu tujitahidi kuwa na kipato mbadala hali niliyoishuhudia jana kwa rafiki yangu haipendezi kwakweli
Watu mna njaa duh
Em tuanze na ww, vyanzo vyako vingine ni niniKafanyaje uyo rafiki
Mi wameniingizia mda huu mdauHata mm bdo
Kwani Nani kalia hapo sasa,,,,mi nimeshea tu na wenzangu kwamba hata Mimi sijapata wala sijalia,, kingine mi ni mwanamke so usitarajie nilie njaaFanyeni Na ujasiliamali jamani. Ni aibu kulialia kila tarehe 20 ikifika.
Mshahara ni mtamu asikuambie mtu.Hata kama ni kidogo lakini kila mwezi upo.Pia ni haki yangu mana niliusotea darasani zaidi ya miaka 14 nasoma.Hakuna mtu mwenye shida kama anayetegemea mshahara.Ni utumwa uliopitiliza.
True!sio kweli. Kwasababu kuna watu wapo kwrnye orodha ya kupanda na wamewekewa mishahara
Ulisotea maarifa,siyo mshahara.Mshahara ni mtamu asikuambie mtu.Hata kama ni kidogo lakini kila mwezi upo.Pia ni haki yangu mana niliusotea darasani zaidi ya miaka 14 nasoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo bank gan? MkuuMimi nimeangalia mara mbili kwa kupitia simbank lakini hakuna kitu,kama ni akaunti kufanana na payroll mimi nilipoajiriwa nilifungua akaunti iliyofanana na jina lililopo katika barua ya Ajira.Sasa iweje mshahara uuingie kwamafungu.Labda wana sababu ya kutuambia juu ya mkanganyiko huu
Sent using Jamii Forums mobile app
umeingiziwa nusu?Mimi nimeingiziwa nusu ambayo tayari ishapungua baada ya kucheki kupitia NMB mobile
Sent using Jamii Forums mobile app