Bas huyo hapand raund hii kuwa mpole madaraja ndo yamewafkisha haposio kweli. Kwasababu kuna watu wapo kwrnye orodha ya kupanda na wamewekewa mishahara
Ambao hawajapata mshahara ndo wale wanaosubiria kupanda daraja mwez huu so please muwe wapole
ref: jibu langu juu hapoUsiwadanganye wapo waliopata.
Muda huu au toka mchanaMimi nimeingiziwa nusu ambayo tayari ishapungua baada ya kucheki kupitia NMB mobile
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tatizo lako liko waziMie mwenyewe sijawekewa mshahara mpaka sasa,Elimu darasa la 7,niliajiriwa baada ya 2004,nipo lindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ktk uhakiki nimekuzidi mara 1!Kuna uhakiki mwingine sisi tumemaliza wk iliyopita wa nida labda wao hawaja maliza uhakiki make kwa hesabu ya haraka mm wengine tumehakikiwa zaidi ya mara 15 wavumilie tu
Sent using Jamii Forums mobile app