Baadhi ya viongozi wa CHAUMA

Baadhi ya viongozi wa CHAUMA

Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Mbwa kala mbwa 🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
CHADEMA WANA WIVU MKUBWA DHIDI YA CHAMA KIDOGO KABISA CHAUMMA
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Ndio shida ya kutumia rushwa
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Ndugu Rozela

Huu ni msimu wa kupiga hela toka CCM na serikali yao..

Ziko nyingi mno kwa ajili ya kumhakikishia Chura Kiziwi ushindi wa kimagumashi...

Hawa wana haki hiyo kabisa kudai haki yao. Lakini, tunajua wanataka watulizwe kwa pesa na 100% watazipata...!

Good movie indeed. Acha wale pesa za wanaokwenda kufa...

Kwa sababu kwa vyovyote vile, kabla ya ujio wa hawa vibaka wa kisiasa wa G55, CHAUMA ilikuwa na uongozi full...

Ikawaje hawa vibaka wanaingia chamani leo, na wote wanavikwa uongozi: huyu Katibu, yule naibu, yule makamu mwenyekiti nk ?
 
Ndugu Rozela

Huu ni msimu wa kupiga hela toka CCM na serikali yao..

Ziko nyingi mno kwa ajili ya kumhakikishia Chura Kiziwi ushindi wa kimagumashi...

Hawa wana haki hiyo kabisa kudai haki yao. Lakini, tunajua wanataka watulizwe kwa pesa na 100% watazipata...!

Good movie indeed. Acha wale pesa za wanaokwenda kufa...

Kwa sababu kwa vyovyote vile, kabla ya ujio wa hawa vibaka wa kisiasa wa G55, CHAUMA ilikuwa na uongozi full...

Ikawaje hawa vibaka wanaingia chamani leo, na wote wanavikwa uongozi: huyu Katibu, yule naibu, yule makamu mwenyekiti nk ?
Hatari sana aisee
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Wakijiunga CHADEMA maana yake hawana uhalali wa kufungua kesi dhidi ya CHAUMA.
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Madalali yamevamia CHAUMA hakitaenda mahali
 
Back
Top Bottom