Baadhi ya viongozi wa CHAUMA

Baadhi ya viongozi wa CHAUMA

Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Haha

Chagadema
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Kula chuma hicho Msajili wa vyama
 
Halafu utaratibu upoje kwenye vyama,inakuaje mtu anaingia kwenye chama siku hiyo hiyo ateuliwa kuwa kiongozi wa ngazi ya juu? Katiba ya Chauma inalizungumziaje jambo hili?
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Dah inaelekea umeumia sana.Na pia upo in denial. Leta majina ya hao viongozi au itakuwa ni wishful thinking.
 
Wakuu kuna taarifa kuwa waliokuwa viongozi wa CHAUMA wanajipanga kufungua kesi dhidi ya chama hicho.

Wanadai kuwa nguvu kubwa pamoja na vitisho vimetumika kuwaondoa madarakani, wasema chama kimeuzwa na hawatakubali kukiachilia kihuni.

Wanne kati yao watajiunga CHADEMA.

Vuta glasi ya juice, kunja 4 movie inaendelea.
Hata mimi nilijiuliza sana, vyeo walivyoenda kuvishwa hao G55 ina maana vilikuwepo wazi?

Kama sivyo, hao waliokuwa kwenye nafasi hizo walikula maharage ya wapi kuvikana?

Kwa kweli hii ni movie, ngoja tusogeze stool tukae sawa sawa.
 
Halafu utaratibu upoje kwenye vyama,inakuaje mtu anaingia kwenye chama siku hiyo hiyo ateuliwa kuwa kiongozi wa ngazi ya juu? Katiba ya Chauma inalizungumziaje jambo hili?
Wenye katiba ndiyo waliofanya,we unahangaika!!
 
Back
Top Bottom