Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Hizi shida tunapata sababu tuko mkoani, kuna passo hapa model ya 2005, mara ya mwisho iliwekwa atf ya toyota t-iv sikumbuki mwaka, lakini juzi kati ilibadilishwa injini odo yake inazaidi ya 200,000 huko hapo likazuka jambo, o/d ina flash ukiweka R au D kutokea P ina jerk then inatoka kama haiko gia namba moja, inatoka kwa tabu, nikaenda diagnosis nikapata majibu haya
Nikaambiwa ni solenoid bas sample ya gear box ikafunguliwa solenoid kama mbili zikatolewa zikatestiwa zikapiga zikarudishiwa, filter ikabadilishwa na atf hii ikawekwa

Baada ya kutembea km 10 ile hali ikarudi, lakini haikudumu sana ikapotea baada ya wiki hivi baada ya mwezi zaidi ikarudi ukiwasha tu gari na kuweka D au R o/d ina blink na jerk zikarudi, hapa hata sijui nifanyaje, nibadili gear box, ni calibrate TCM, nikabadili solenoid zote au nifanyaje JituMirabaMinne nakutegemea, engine ni 1kr-fe niko TA.
 
Mkuu mie nikiweka reverse inatoa huo mshindo hata kama utakanyaga brake had mwisho. Wazoefu wananiambia ni kawasaki ya rav4 oldmodel kushtuka unapoweka reverse. Ni kweli?
Yes hii ishu ni common sana kwenye hilo toleo la Rav 4. Wanasema ilikuwa fault kutoka kiwandani.

Labda kama mshituko wako ni mkubwa kuliko kawaida.
 
Nanikiweka D nikiachia pedo haitembei mpaka n accelarate..yawezekana clutchplate Inaniaga na ndio inayoleta tatizo la kustuka unapowek reverse ?
Fluid kidogo au huenda gearbox ndio inakuaga.
 
Nitafutie kibati kinachofanana na hivi viwili kwenye gari yako.




 
Gari aina gani?
Passo Racy piston 4.
Engine ni K3-VE cc 1290
Hili tatizo inaweza kuwa nini...? Fundi wangu alisemaga eti ni sample ilikua imepinda, akaitoa akaiponda ponda akairudisha. Lakini bado.

Yani iko hivi, nikiwasha gari wakati wa kuondoka. Nikitoa P kwenda D (au R kwenda D) ile mara ya kwanza kabisa, inashtuka. Lakin baada ya hapo haishtuki tena.

Namaanisha ikisha-shtuka, nikairudisha tena P halafu niende tena D haishtuki tena.

Mpaka labda niizime halafu ipoe labda nusu saa hivi. Nikiwasha gari halafu nikafanya kuhama kwenda D niondoke, kwanza inachelewa kuingia gear. Halafu unasikia mshindo "Kpuh" ndio gear ya D inaingia.

JituMirabaMinne nisaidie mwenzio. Nateseka. Shida itakua nini, solenoid? Kisahani?

ATF (tena ile ya TOYOTA IV) nishamwaga na kuweka mpya mara kibao.
 
Mbona kwa maelezo yako inaonekana kama oil haiko level sawa?

N.B.

Level ya Oil huangaliwa gari ikiwa inaunguruma, umeipaki sehemu ambayo iko level na yafaa zaidi ukiwa umetoka kutembea[engine imeshapata joto].
 
Mbona kwa maelezo yako inaonekana kama oil haiko level sawa?

N.B.

Level ya Oil huangaliwa gari ikiwa inaunguruma, umeipaki sehemu ambayo iko level na yafaa zaidi ukiwa umetoka kutembea[engine imeshapata joto].
Hii elimu hatuna kabisa, sie tunapima ikiwa imezima na imepoa kabisa eti wanasema oil imerudi kwenye sample, naomba ucheki post namba 178 pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…