Baadhi ya shule binafsi zimekiuka agizo la serikali kuwa na term mbili kwa mwaka

marksalewi

Member
Apr 7, 2012
96
25
Agizo la serikali ni kuwa shule za binafsi ziwe na mihula miwili kwa mwaka kama shule za serikali. Baadhi ya shule kama hiyo hapo chini imekiuka makusudi kwa kigezo cha darasa la saba. Lakini ada yao imekuwa juu mno kulinganisha na shule zingine.

IMG_20170102_111541.jpg
IMG_20170102_111509.jpg
 
Back
Top Bottom