Baadhi ya nyakati nilizo pitia chuo

Baadhi ya nyakati nilizo pitia chuo

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,601
Reaction score
8,687
Binafsi Ni mtu mmoja mpole Sana , na ni mtulivu pale inapo bidi Ni Kama introvert flani hivi nilie changamka. Pamoja na hayo Ni mtu ambaye nikisha mzoea mtu na mtu akanizoea basi ni lazima awe rafiki yangu.Muda mwingi nikiwa na marafiki Mimi Ni mtu wa kuongea pumba Sana Sinaga point labda niwe na shida ya msingi.


Kutokana na hiyo tabia wengi walikua wananichukulia poa na kuniona Sina malengo na Mimi Ni mpuuzi kwa walio piyia chuo wanakijua hichi.

Basi Kuna wale walio furahia mizaha yangu na kutaka kuja kuifanya kwenye maisha yangu halisi walishangaa kuona Tena tunagombana kumbe Mimi katika maisha halisi sio mwepesi kiivo pale linapo kuja swala la msingi basi upuuzi wote mfukoni .

Kwenye swala la kuwabandua wakina dada sikua nyuma nami nilikuepo ...kitendo kilicho fanya baadhi ya boys kushangaa nawezaje kuwala watoto wazuri wakati mimi Ni mtu wa mzaha Sana? Kumbe mwenza Kuna pointi moja katika civics huko form three inafanya kazi Hadi leo "Copy with the society" . Na mademu niliwabandua ukweli ila Kuna huyo Alie nifanya niandike huu Uzi.

Ff>>>> alikua Ni demu mmoja wa kinyaturu mweupe urefu saizi ya kati, alikua Ni mpole Sana ila kutokana na maujinga yangu tu akawa amenasa nayo basi siku nikaombwa nikamgundishe programming ...basi nikajibeba mwenyewe kuenda kumfundisha programming kwenye vimbweta vya chuo sikutaka kumleta gheto cos sikua na mawazo nae hata kidogo ya kumla na Mimi nilijua Ni kufundishana tu.

Basi nikawa nimefika chuo kutokea geto , basi kufika pale nikakuta mtoto amesha fika ananisubiri ile kufika tu akavhukua leso na kuanza kufuta sehem ya kukaa Mimi na kuambiwa karibu. Basi pale Kama kawaida yangu Sina stress na maisha nikatoa ile Salam ya kujiamini utafikiri namdai mo...

Mrembo akaitikia kiabu aibu huku Mimi nikichukulia Mambo rahisi tu kumfundisha mtu programming na kusepa zangu basi nikatoa pc yangu na not book yangu nikaanza kumchilea ma alogarithm pale naona mtu anaitikia tu ....nilivyo fika kwenye ma condition statements naona Kama mtu hayupo hivi kumuuliza wewe vipi mbona Kama hatupo pamoja ...? Akajibu miles kiukweli Leo sipo poa kivile nafosi Mambo tu yaende . Kisa nini bibie .....? Aaaah we acha tu . Naamin Kama umeniita hapa nikusaidie programming basi na Hilo nawezaje saidia . Akaniuliza tu hivi nyie wanaume mbona wajinga sana.....? Kwa hiyo hapa upo na mjinga wa kiwango gani....? Yeye hapana sio hivoooo ile kujitetea na kunishika mikono na kisura Cha upole Mimi basi naondoka maana Usha Anza matusi ya kutukana wanaume .

Hapana miles sijamaanisha hivo naomba unielewe . Mimi mhhhh endelea tumekufanyia nini....? Oh huwezi Amin boyfriend wangu sijui kafanya Nini sijui Nini bla bla bla ............kifupi Ni Kama bado mtoto . Mimi mmeanza kudate lini ....oh tokea form five me okay ....... Yeye nataka kumuaacha . Ohh kwa Nini Tena ....?nimesha kuambia. Haya Kila rahel kwenye muachano wenu.....alicheka Sana na kuniuliza kwa umakini mkubwa Miles hivi kwa Nini wewe Ni mcheshi Sana.....? Na maisha yako yapo so simple . Nikamjibu basi ni vile tu mom en dad walivyo kuwa wanakanda udongo wangu walikua na furaha Sana .... Aiii miles acha kutania wazazi .

Nikaulizwa leo jioni utapika Nini .....? Ugali wa dona na maziwa ya mgando na vidagaa vya kurosti vya mama Jacky. Mama Jacky ....? Eee mama yetu analost dagaa na samaki jioni pale kitaa. Oh natamani na Mimi Nile hicho chakula chako ...! Hilo tu bibie twende tuwahi mapema maana sufuria nakumbuka sikuloweka hivyo tuwahi nikaloeke tulioshe mapema tutoe upara wa mzungu.....alifurahi Sana Hadi kunyanyuka akawa anaelemewa .

Basi bana kwa shangwe lote akanyanyuka hao Hadi geto kufika geto akakuta vyombo vyote visafi geto Safi vitu vya maana tv , bufa Sean piano , bed king , kiufupi geto Lile mrembo yoyote hachomoki hasa wa chuo Kama mnavyo jua maisha ya chuo ukikuta mwanafunzi ana tv huwa life lake Ni zuri.

Basi pale nikapokea pongezi za kufa mtu na maneno Kama miles mtu akikuona huko nje na ulivyo tofauti wanaume wengi Sana wanakuona fala kumbe umewazidi hivi nikamwambia watu wengi ndio walivyo simama tukatoe oda kwa mama Jacky

Ff>>> basi nilienda nae hivyo huku Mimi akilini nikiwa Sina wazo la kumla Wala mahusiano nae . Cos nilikua na wanawake wengine watatu nilio kua nao kwenye serious relationship na wengine debe Zima wa chapa ilale .

Basi siku akaniomba aje geto katika story mbili tatu akasimama mbele yangu na kuniambia eti miles kwani mimi sivutii.......? Kutupa macho mbele naona mtoto katinga kimini Cha rangi ya dam ya mzee na miguu yake myeupe ,kiuno chembamba na katumbo flani hivi

Itaendelela .......someni Kwanza hii isije ikapotea .......kunavisa huko mbele hadi vya kuzinguana na lecture/Mkufunzi kisa huyu manzi.
 
Aise! Kitambo sana Umenikumbusha somo la "data structure in C++" lilivyonipa mtoto mkali wa kishua. ambaye sikuwahi hata kuota kummiliki.
 
Kuna mfanano flani hasa hpo mwanzo na life langu nilikuwa naonekana boya flan lakini programing( java) nashoosha

Afu warembo wachuo napita nao I short sikueleweka kbsa


Oya ebu endelea
 
Chapter Two





Basi bana nilivyo ona mtoto mtoto kakaa mbele yangu hapo akili ya kumla ikajaa na kichwa Cha chini kikaanza kufurukuta kwa hesabu nzito basi kikawa kimepata jibu kuwa jifanye umedata nae na umtombe Kama unambaka

Basi nikamrukia na kumsukumia kwenye kisofa vuta kisketi chake kwa juu chanua msamba betua kichupi pembeni toa dushe nikaingiza mdogo mdogo Hadi kitu kilipo loa kabisa ndipo nilipo Anza kupiga za nguvu.tako za kutosha Kama dakika 20 hivi wazungu hao .....nikachukua tishu nikamfuta nikairudisha chupi Kama ilivyo kuwa na kisketi chake basi . Mtoto kakaa tu kimya anashangaa shangaa nikamchukulia juicy ya sobo nikampa akawa anakunywa huku ananiangalia na kuanza kuniuliza Kama nampenda nikamfariji nampenda ila badae nikamuweka wazi mahusiano yangu yote Cha ajabu alisema najua hayo ila nipe nafasi yangu .....nikamwambia Kama umekubaliana nayo poa haina shida.

Basi ndio akatokea kunipenda kiivo Hadi sio poa ......lkn Cha ajabu kumbe Kuna lecture nae yupo alikua anamfukuzia ila manzi alimkazia .


Basi lecture akafanya utafiti kujua nani anampa kiburi mtoto mzuri . Basi akanivumbua Mimi ndio Nampa kiburi akaanza kuniwekea vizingiti bila Mimi kujua tatizo lipo wapi. Cha ajabu demu alikua anajua ila hakuniambia kwa kuhofia nitamkataza mazoea na Mimi.


Basi Kuna siku tukiwa site na project Kama asgniment tikiwa wanafunmzi Kama 10 hivi ikatokea huyo ticha akaja na kuanza kutupigisha story , story zilipigwa Hadi tukafikia story za madem ...

Basi akatafuta angle ya kufikisha ujumbe wake akaipata na kuanza kutupiga mkwara akasema "unajua nyie wanafunzi matatizo mnayatafuta mtakulaje sehem wanazo kula wakubwa zenu....?" Basi tukacheka Sana na Mimi ndio nilicheka Sana kumbe mwenzetu yupo serious akawa Kama kapata hasira hivi ila Mimi binafsi sikujua Kama ndio mlengwa .

Anaendelea pale na mikwara yake sijui mtadisko kizembe usicheze na mtu Alie shika mpini , si mnajua lecture ndio kashika maisha yako hapa chuo na bla bla ..... kiukweli katika maisha yangu ukinitishia ndio umeharibu basi pale na Mimi kimasihara nikajibu .....yaani Mimi labda huyo lecture aniharibie nisimjue Kama ndio yeye kiukweli huo mwaka nitakao kaa nyumbani ndio mwaka wake wa matatizo nyumbani kwake kwanza naanza nakewe Kisha wanae ...watu wakacheka pale .

Akaja Tena oooh kabla hujafikiria kuja kwa mke wangu jiangalie kwanza umri wako ....nikajibu Sasa ticha kwa akili ya kawaida nitakuja Mimi ....? Kuna mabroo kitaa huko nawatumia hao waje wakuvurugie Hadi uombe disko isitishwe nilurudishwe chuo yaishe ....watu walicheka Sana lkn maongezi yote hayo kumbukeni sijijui Kama Mimi ndio Target Mimi najua Ni story tu...

Nikaja Tena kwanza nikigundua unania mbaya na Mimi kwa sababu unategemea Hadi msimu wa mitihani ndio unafanyie yako Sasa Mimi nakutafuta kwenye hizi corido za chuo nakuchapa kweli au tugombane Hadi ushahidi upatikane kuwa mwalimu na mwanafunzi wamegombana alafu tukitwa huko kwenye maadili wakiuliza Nini chanzo nasema chanzo demu tunagombania demu alafu nione nani ana Cha kupoteza ....Mimi naenda kunza chuo sehem nyingine wewe unafukuzwa kazi sijui mkeo utamwambia nini....?

Aliishia kucheka tu kinafki kwa kujikosha ....akajibaraguza akaondoka ....so zile story zikawa zime zagaa darasa lote hadi kumfikia mtoto mzuri ....ndipo alipo nifungukia kuwa yule ticha anamtaka ...nilicheka Sana kumbe story zote zile mm ndio nilikua mlengwa ila hata hivi alikipata alicho kuwa anakitafuta na kujua kumbe Kuna wanafunzi vichaa.

Basi ndio hivo Hadi kesho yule ticha Ni rafiki yangu na yule manzi tunakumbukana japo hatujawahi kudinyana tena. Tangu chuo kiishe.


......wanafunzi msiwe waoga linapo kuja swala la haki zenu mtu akimwaga mboga wewe binua meza nzima Hadi maji ya kunawa uone Kama ataendelea kukufanyia ujinga.

......if you want to shoot then shoot , if you want to talk then talk.

.....Kuna lecture mwingine nae kisa demu Mimi nikiwa kiongozi wa kundi alitupa kazi ngumu kichizi yani mnaenda kukusanya mnarudishwa ..... mnaenda Tena mnarudishwa , Mimi nikaanza kufukiri hii imekaaje mbona makundi mengine washapeleka sisi Kuna nini ...? Tulikua tuna member mmoja wa kike kumbe jamaa alikua anamtaka ila wamekataana huko anakuja kututesa wote .

Basi wanakikundi wengine walisha kata tamaa wakawa wananitegemea Mimi ....nikamfata lecture nikamwambia sir nimekuja kukusanya kazi yako na sahizi hakuna marekebisho tutafanya and if you're 10 marks is the big deal then keep it. Nikawa naondoka nimemuachia makaratasi na CD ya program.

Matokeo yanatoka tuna 8/10 hapo jina lilikua Tena Sana na kufanya mademu wanidemue Sana . .....nimemic zile siku
 
Kuna mfanano flani hasa hpo mwanzo na life langu nilikuwa naonekana boya flan lakini programing( java) nashoosha

Afu warembo wachuo napita nao I short sikueleweka kbsa


Oya ebu endelea
ndio maisha uanavyo taka ....Mimi nilikua nashangaa eti wengine ili wagonge manzi lazima wawe na vitu flani Kama kumaintain urefu wa nywele ....yaani usop sop ....wakati Mimi kunyoa Ni Hadi nione nywele zinanisumbua kuchana ndio nakumbuka Kuna kunyoa
 
Sasa ndugu umebahatisha kademu kamoja kenye nyege basi kelele mji mzima huu?
 
Story yako nmeipenda Ila hapa boresha kidogo😊 lecturer Ila n common mistake.
 
Back
Top Bottom