Baadhi ya mabilionea Afrika waliotekwa 2018

Baadhi ya mabilionea Afrika waliotekwa 2018

Niccolo Machiavelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,881
Reaction score
3,653
1. Shiraz Gathoo. Huyu ni bilionea kutoka Afrika ya kusini aliepata kutekwa mnamo mwezi wa 3 mwaka huu.Waliomteka walitengeneza kizuizi feki cha polisi na kisa kumpeleka kusikojulikana. Aliachiwa baada ya miezi 5.Alikana kwamba hakutoa pesa yoyote lakini wajanja wanakuambia alitema mpunga mrefu ila hakutaka kusema ukweli kwa sababu za kiusalama.

2.Andre Hanekom. Huyu pia ni bilionea kutoka Afrika kusini lakini biashara zake anafanyia Mozambique(Msumbiji).Huyu alitekwa mwezi wa 3 alipokua kwenye parking ya hotel iitwayo Amarula Hotel katika mji wa Cabo Delgado.Alitekwa na wasiojulikana 5.

3.Liyaqat Ali Parker.Huyu ni bilionea kutoka Afrika kusini.Alitekwa mnamo mwezi wa 7 akiwa ndani ya jengo la ofisi zake katika mji wa Capetown.Anamiliki supermarket ziitwazo FoodWorld huko sauzi.

4. Chief Michael Obi. Huyu ni bilionea kutoka Nigeria ambaye pia ni baba wa mcheza mpira maarufu, Obi Mikel.Alitekwa kabla ya mechi ya Kumbe la dunia baina ya Nigeria na Argentina.Hii ilikua ni mara ya pili tajiri huyu mtata anatekwa ambapo mara ya kwanza ilikua mwezi wa 8 mwaka 2011.
 
Visa kama hivi vimelindima pia baadhi ya mataifa mengine ya bara la AFRIKA
Screenshot (34).png
 
5.Roma
Alitekwa mnamo miezi kadhaa iliyopita, pamoja na washirika wake. Aliachiwa siku chache baadaye baada ya watekaji kugundua kuwa mtekwaji sio lolote sio chochote.
 
Labda ni mimi sielewi mnieleweshe, Bilionea pekee aliyetekwa africa 2018 ni MO, wengine waliobaki ni wafanyabiashara wakubwa lakini kwenye list ya bilionea's sijawaona ..!
 
Labda ni mimi sielewi mnieleweshe, Bilionea pekee aliyetekwa africa 2018 ni MO, wengine waliobaki ni wafanyabiashara wakubwa lakini kwenye list ya bilionea's sijawaona ..!
Huenda list uliyomkuta ni ile ya matajri vijana
 
Back
Top Bottom