emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 80
- Thread starter
- #21
Matumizi ya vyombo vya dola kupita kiasi ( matumizi ya nguvu) kuwanyamazisha wale wanaowakosoa viongozi walioko madarakani au kutoa ushauri chanya juu ya masuala muhimu ya kitaifa ndio dalili kuu ya kushindwa kwa tawala zilizochokwa na wananchi wake. Kwa maana nyingine ni mwanzo wa udicteta, wananchi huwa hawasikilizwi na viongozi ndio hujifanya kujua suluhisho la kila tatizo.
right sir