Baadhi ya CCM kuungana na UKAWA

Baadhi ya CCM kuungana na UKAWA

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Habari njema wanajanvi kumbe si UKawa peke yao wanaotaka ile Rasimu ya Warioba iheshimiwe ,kuna makada mbalimbali wa CCM ambao wameapa kutokubaliana na rasimu ya CCM ya serikali mbili kuelekea moja na kama kufukuzwa chama wamesema wao watakuwa sio wa mwanzo ,watapinga waziwazi na hawatolipigia kura eneo lolote lile na kuliunga mkono kama pendekezo ni serikali mbili.

Na mwisho watatoka ndani ya Bunge na kupunguza idadi ya kura zinazohitajika hivi sasa wametulia tu na wanaangalia mshindo ila wamesema WaTz watashangaa mwaka huu.
 
Ni kweli mkuu wapo wanaccm wengi ambao wataungana na ukawa mfano dr slaa,mason himid,john olemilya,ally bananga na lipumba.
 
Hata mie nakubali maana hata Salim na Warioba ni wanaccm lakini mioyo yao ni serikali tatu, na ingekuwa si unafiki wa serikali mbili ni mmoja tu naye ni Olesendeka kwa mbali namwona Lukuvi.
 
Jambo hilo haliwez kutokea kamwe. Hiyo ni lugha chambo inayowatega UKAWA kuwafanya waone sasa rasimu itapiganiwa na wajumbe wote
 
@ Kigodoro ,maatope,Simiyu Yetu

Hatuandikii mate kwamba yatakauka ,hansard za JF zitaonyesha udhaifu wenu na sijui kama mna habari ya kuwa kimeanza kunuka ? Nimesema mtashangaa , mnaikumbuka ile nyimbo iliyokuwa ikijulikana ...Mambo bado ,mambo bado mambo bado habari kedekede toka dodooooma !
 
Hakuna kitu!
MaCCM wameapa mara ngapi bungeni na baadae kutekeleza kinyume na ahadi watoazo?
 
Jambo hilo haliwez kutokea kamwe. Hiyo ni lugha chambo inayowatega UKAWA kuwafanya waone sasa rasimu itapiganiwa na wajumbe wote

Mambo ya kutegana hayapo ,CCM kibao wataondoka mmoja mmoja ,wengi wameshajua kama kuna genge linawaburuza na baada ya kupita KATIBA watakuwa kama product ya chakula kilicholiwa.Na kubwa wataambiwa kwani zile laki tatu mlifikiria mnapendwa sana ?

Mtashangaa sana nyie mliekunywa maji ya bendera ,ila kama nijuavyo kuna CCM kibao hawakubaliani na kinachofanyika yaani kikinuka tu basi mabasi yakuwasafirisha wajumbe nje ya Dodoma yatakuwa hayatoshi.

Siku zote haki inakuja juu tu na wapenda amani na utulivu ni wale wanaopenda kuona haki inafanyiwa na kupewa haki yake hawako tayari kuona inakandamizwa ,tegemeo lao ambalo liliwafanya kubaki ni kuona labda kesho mambo yatakaa sawa ,labda rasimu ya Warioba itarudi mezani ,dalili zote za kurudi mezani kwa rasimi orijno hazipo hivyo hakuna kinachowafanya wabakie.
 
Mambo ya kutegana hayapo ,CCM kibao wataondoka mmoja mmoja ,wengi wameshajua kama kuna genge linawaburuza na baada ya kupita KATIBA watakuwa kama product ya chakula kilicholiwa.Na kubwa wataambiwa kwani zile laki tatu mlifikiria mnapendwa sana ?

Mtashangaa sana nyie mliekunywa maji ya bendera ,ila kama nijuavyo kuna CCM kibao hawakubaliani na kinachofanyika yaani kikinuka tu basi mabasi yakuwasafirisha wajumbe nje ya Dodoma yatakuwa hayatoshi.

Siku zote haki inakuja juu tu na wapenda amani na utulivu ni wale wanaopenda kuona haki inafanyiwa na kupewa haki yake hawako tayari kuona inakandamizwa ,tegemeo lao ambalo liliwafanya kubaki ni kuona labda kesho mambo yatakaa sawa ,labda rasimu ya Warioba itarudi mezani ,dalili zote za kurudi mezani kwa rasimi orijno hazipo hivyo hakuna kinachowafanya wabakie.

Kama bado wako ndani ya Bunge wala si watu wa kuaminika tena..
 
Wacha Waende zao Chama Kinatengenezwa kwa Sera!, Kama Huamini Mfano Katika Sera za Chama na Hazijabadilishwa UNAKWENDA Tuuuu!, huwezi Kuwa NDANI ya CDM na Ukatetea Serikali 2 na uendelee Kujiita CDM Hata Kidogo! Mwalimu NYERERE aliwaambia G55 Kuwa SERA YA CCM Kuhusu Muundo wa Muungano ni 2 na Haijabadilishwa!, Akaongeza sio Dhambi Kwao Kuamini Katika 3, Lakini WAPISHE CCM na Kutafuta Chama kinachoamini Katika Muundo huo Kwani sio LAZIMA wafanye SIASA Wakiwa CCM na Aliwaambia Vyama vinavyoamini Hivyo Vipo Vingi Ikiwemo DP Ya Rev MTIKILA Wakati Ule.
Ni Ajabu na UNAFIKI kuishangaa CCM kusimamia Sera Yake Lakini Mkaona sawa Wengine Kubaki na Sera zao " DOUBLE STANDARDS"
 
Wacha Waende zao Chama Kinatengenezwa kwa Sera!, Kama Huamini Mfano Katika Sera za Chama na Hazijabadilishwa UNAKWENDA Tuuuu!, huwezi Kuwa NDANI ya CDM na Ukatetea Serikali 2 na uendelee Kujiita CDM Hata Kidogo! Mwalimu NYERERE aliwaambia G55 Kuwa SERA YA CCM Kuhusu Muundo wa Muungano ni 2 na Haijabadilishwa!, Akaongeza sio Dhambi Kwao Kuamini Katika 3, Lakini WAPISHE CCM na Kutafuta Chama kinachoamini Katika Muundo huo Kwani sio LAZIMA wafanye SIASA Wakiwa CCM na Aliwaambia Vyama vinavyoamini Hivyo Vipo Vingi Ikiwemo DP Ya Rev MTIKILA Wakati Ule.
Ni Ajabu na UNAFIKI kuishangaa CCM kusimamia Sera Yake Lakini Mkaona sawa Wengine Kubaki na Sera zao " DOUBLE STANDARDS"

Kama kweli ubavu munao, ipigwe kura ya SIRI kama kweli unasema Waende zao tu. Ubavu huo haupo acha kutudanganya.
 
Kawaida genge halina busara. Huo ndio ukweli.
 
Mtu Kuondoka KURA YA SIRI YA NINI??? We Ndio Unaona Chama Hakifai ACHA UNAFIKI NA USIMAMIE UNACHOKIAMINI , Kwanini uwe na Nidhamu ya Woga ,Kama unalosimamia Lina Ukweli SIMAMA UHESABIWE FULL STOP!
 
siyo rahisi wanaccm wanaogopa kufukuzwa chamani, subiri siku ya kupiga kura ndiyo utajuwa uoga uliopo
 
Back
Top Bottom