Baada ya Yesu Kristo hakuna mtu bora kama Museven!!

Baada ya Yesu Kristo hakuna mtu bora kama Museven!!

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,127
Reaction score
24,424
Haya ameyasema mwanae mropokaji wa hovyo kwenye mitandao ya kijamii muhoozi kainerugaba

Kwamba Baada ya Yesu hakuna kiumbe bora duniani kama Museven

Huyu jamaa ni mzima kichwani kweli? Huyu mtusi ana matatizo ya akili sio bure

Sema waganda ni kama sisi tu tulivyoridhika kukandamizwa na haya majambazi na vibaka wa ccm
 
Haya ameyasema mwanae mropokaji wa hovyo kwenye mitandao ya kijamii muhoozi kainerugaba

Kwamba Baada ya Yesu hakuna kiumbe bora duniani kama Museven

Huyu jamaa ni mzima kichwani kweli? Huyu mtusi ana matatizo ya akili sio bure

Sema waganda ni kama sisi tu tulivyoridhika kukandamizwa na haya majambazi na vibaka wa ccm

Bila shaka ndiye aliyemmiminia mama misifa kama Lucas Mwashambwa na wale ndugu zake njinjo au Tlaatlaah.
 
Kama amempa taji hilo kwa kuzingatia kuwa mzazi wake siwezi kupinga

Ila kama rais mhh.....
 
Haya ameyasema mwanae mropokaji wa hovyo kwenye mitandao ya kijamii muhoozi kainerugaba

Kwamba Baada ya Yesu hakuna kiumbe bora duniani kama Museven

Huyu jamaa ni mzima kichwani kweli? Huyu mtusi ana matatizo ya akili sio bure

Sema waganda ni kama sisi tu tulivyoridhika kukandamizwa na haya majambazi na vibaka wa ccm
This time kavuka mstari... December mbali mwambieni
 
Haya ameyasema mwanae mropokaji wa hovyo kwenye mitandao ya kijamii muhoozi kainerugaba

Kwamba Baada ya Yesu hakuna kiumbe bora duniani kama Museven

Huyu jamaa ni mzima kichwani kweli? Huyu mtusi ana matatizo ya akili sio bure

Sema waganda ni kama sisi tu tulivyoridhika kukandamizwa na haya majambazi na vibaka wa ccm
Wenda anakaribia kufa,
 
kuna mropokaji mwingine anajifanyaga yupo perfect sana, hua anajikuta ni kama vile yeye ni mdogo wake yesu kristo wa nazareth, dah!

ila kwasasa anasota korokoroni ukonga dar es salaam, uropokaji umemponza 🐒
Kenge na chawa mkubwa wewe!
 
kuna mropokaji mwingine anajifanyaga yupo perfect sana, hua anajikuta ni kama vile yeye ni mdogo wake yesu kristo wa nazareth, dah!

ila kwasasa anasota korokoroni ukonga dar es salaam, uropokaji umemponza 🐒
Mkuu..ndu wa mazako
 
kuna mropokaji mwingine anajifanyaga yupo perfect sana, hua anajikuta ni kama vile yeye ni mdogo wake yesu kristo wa nazareth, dah!

ila kwasasa anasota korokoroni ukonga dar es salaam, uropokaji umemponza 🐒

Kuna mwingine mwimba twaarabu kuliko bi. Kopa, hivi sasa kakomaliwa na kila nchi. Anachukiwa EA kuliko wote. Katengwa. Hana rafiki. Dunia yote imemkomalia. Ni mwanawe M7 tu ndiye anayemzimikia.
 
Sasa hapo kosa lake liko wapi, mimi mwenyewe baada ya Yesu Kristo mtu bora zaidi ni Mama yangu… anzisha uzi sasa
 
Back
Top Bottom