Baada ya tangazo la Rais Samia kusitisha retantion fee bodi kwangu imekuwa kiama

SACO

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
2,318
2,912
NImekatwa miaka mingi hatimaye deni langu imebaki 15,000/= ndio ninayodaiwa. Nimeenda kuomba statement nilipe ili HR asitishe makato kwenye mshahara wangu sababu kwenye salary slip deni linasoma zaidi ya milioni 2 hivyo bila HR kutaarifiwa na bodi hawezi kusitisha makato.

Majibu niliyopewa ni kuwa sasa hawatoi statement mpaka watakapopokea maelekezo toka juu hivyo nitaendelea kukatwa labda baada ya mwezi Julai watakapoanza kutoa statement.

Hii imeniuma sana na kujion, naomba kama kuna mwenye mawazo tofauti katika hili.
 
NImekatwa miaka mingi hatimaye deni langu imebaki 15,000/= ndio ninayodaiwa. Nimeenda kuomba statement nilipe ili HR asitishe makato kwenye mshahara wangu sababu kwenye salary slip deni linasoma zaidi ya m2 hivyo bila HR kutaarifiwa na bodi hawezi kusitisha makato.

Majibu niliyopewa ni kuwa sasa hawatoi statement mpaka watakapo pokea maelekezo toka juu.. hivyo nitaendelea kukatwa labda baada ya mwezi july watakapoanza kutoa statement. Hii imeniuma sana na kujion, naomba kama kuna mwenye mawazo tofauti katika hili
Kwenye slip 2M. Wewe hiyo 15 elfu umeikokotoa vipi?
 
NImekatwa miaka mingi hatimaye deni langu imebaki 15,000/= ndio ninayodaiwa. Nimeenda kuomba statement nilipe ili HR asitishe makato kwenye mshahara wangu sababu kwenye salary slip deni linasoma zaidi ya m2 hivyo bila HR kutaarifiwa na bodi hawezi kusitisha makato.

Majibu niliyopewa ni kuwa sasa hawatoi statement mpaka watakapo pokea maelekezo toka juu.. hivyo nitaendelea kukatwa labda baada ya mwezi july watakapoanza kutoa statement. Hii imeniuma sana na kujion, naomba kama kuna mwenye mawazo tofauti katika hili
Muone bosi wako.
 
Kwenye slip 2M. Wewe hiyo 15 elfu umeikokoto

Kwenye slip 2M. Wewe hiyo 15 elfu umeikokotoa vipi?
Mkuu deni mara ya kwanza liliingizwa kimakosa, baada ya mimi kwenda bodi kulalamika nikarekebishiwa. Na hapa nina statement ya march 2021 inayoonesha deni langu likielekea ukingoni, so baada ya leo kwenda kuomba statement nilipe ili wanipe notification HR asitishe makato naambiwa siwezi kulipia mpaka watakapoanza kutoa statement
 
Mkuu deni mara ya kwanza liliingizwa kimakosa, baada ya mimi kwenda bodi kulalamika nikarekebishiwa. Na hapa nina statement ya march 2021 inayoonesha deni langu likielekea ukingoni, so baada ya leo kwenda kuomba statement nilipe ili wanipe notification HR asitishe makato naambiwa siwezi kulipia mpaka watakapoanza kutoa statement
Hiyo haijakaa sawa kabisa
 
Duh hapa nachanganyikiwa. Mfano mi inasoma Mil 1.75 je kuna uwezekano kwamba ikifutwa hiyo RF naweza kua na chini ya hapa? Kama vipi na mimi niende hapo TAZARA.
 
Duh hapa nachanganyikiwa. Mfano mi inasoma Mil 1.75 je kuna uwezekano kwamba ikifutwa hiyo RF naweza kua na chini ya hapa? Kama vipi na mimi niende hapo TAZARA.
Ikifutwa deni limeisha hilo na chenji unawaachia kabisa
 
NImekatwa miaka mingi hatimaye deni langu imebaki 15,000/= ndio ninayodaiwa. Nimeenda kuomba statement nilipe ili HR asitishe makato kwenye mshahara wangu sababu kwenye salary slip deni linasoma zaidi ya m2 hivyo bila HR kutaarifiwa na bodi hawezi kusitisha makato.

Majibu niliyopewa ni kuwa sasa hawatoi statement mpaka watakapo pokea maelekezo toka juu.. hivyo nitaendelea kukatwa labda baada ya mwezi july watakapoanza kutoa statement. Hii imeniuma sana na kujion, naomba kama kuna mwenye mawazo tofauti katika hili
Hao wafanyakazi hawamuogopi Mama, ndiyo maana wanajivuta sana kutekeleza maagizo yake papo kwa hapo! Ingekua kwa uncle Magu wenyewe wangenyooka!!
 
NImekatwa miaka mingi hatimaye deni langu imebaki 15,000/= ndio ninayodaiwa. Nimeenda kuomba statement nilipe ili HR asitishe makato kwenye mshahara wangu sababu kwenye salary slip deni linasoma zaidi ya milioni 2 hivyo bila HR kutaarifiwa na bodi hawezi kusitisha makato.

Majibu niliyopewa ni kuwa sasa hawatoi statement mpaka watakapopokea maelekezo toka juu hivyo nitaendelea kukatwa labda baada ya mwezi Julai watakapoanza kutoa statement.

Hii imeniuma sana na kujion, naomba kama kuna mwenye mawazo tofauti katika hili.
Wapo sahihi hasa kama hiyo retention fee ipo kwa mujibu sheria. Tamko la Rais halibadilishi sheria. Ni mpaka serikali yake ipeleke mapendekezo ya kubadilisha sheria bungeni na yapite.

Kama ni suala la kanuni, limo ndani ya malaka wa waziri. Sioni sababu ya kusubiri mpaka July.
 
Back
Top Bottom