chiumbimnungu
Senior Member
- Mar 25, 2017
- 151
- 217
Hatimae kesho mkuu wa mkoa wa dar mh Daudi bashite atakuwa tbc kuzungumzia maendeleo ya mkoa wa dar. Huu ndio usaliti au hawa TBC hawahusiki na mgomo wa kutojihusisha na lolote la bashite??
Wewe ni bashite au le mutuz aka le jingazBashite ndo nani au umerogwa na maada yako hyo ukikosa maada bora ulale ukue tumechoka na pumba inamaana una akili kuzidi mmiliki wa sahara media?? Wew uchunguzwe itakuwa muuza unga
Mtachonga sana lakini ndo hivyoHatimae kesho mkuu wa mkoa wa dar mh Daudi bashite atakuwa tbc kuzungumzia maendeleo ya mkoa wa dar. Huu ndio usaliti au hawa TBC hawahusiki na mgomo wa kutojihusisha na lolote la bashite??
Kina kitu kinakuja soonHuyu jamaa nna wasiwasi dingi ake (Mkulu) atakuwa kashachonga cheti anataka mambo yaamke tena watu wakikiulizia akitoe ajifanye alikuwa nacho.
Na akikitoa uchaguzi ujao lazma atapewa uwaziri
KAMA NAOTA HIVI
Kivp?Ruge anatafutiwa Timing ya kutiwa Nyavuni
Sipati picha kakutana na kina lisu uko bumgen atazid kua kitukoHuyu jamaa nna wasiwasi dingi ake (Mkulu) atakuwa kashachonga cheti anataka mambo yaamke tena watu wakikiulizia akitoe ajifanye alikuwa nacho.
Na akikitoa uchaguzi ujao lazma atapewa uwaziri
KAMA NAOTA HIVI
Hatimae kesho mkuu wa mkoa wa dar mh Daudi bashite atakuwa tbc kuzungumzia maendeleo ya mkoa wa dar. Huu ndio usaliti au hawa TBC hawahusiki na mgomo wa kutojihusisha na lolote la bashite??
Kivp?
Maada ni kitu chochote kinachoweza kuchukua nafasi.(sayansi shule ya msingi)Bashite ndo nani au umerogwa na maada yako hyo ukikosa maada bora ulale ukue tumechoka na pumba inamaana una akili kuzidi mmiliki wa sahara media?? Wew uchunguzwe itakuwa muuza unga
Maada ni kitu chochote kinachoweza kuchukua nafasi.(sayansi shule ya msingi)