Baada ya Rais Magufuli na PM Majaliwa: Mbowe na Lowassa nao Kutinga Muhimbili kwa Kishindo!

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
WanaJF,

Uongozi wa CHADEMA taifa, hapa namzungumzia Mbowe kama mwenyekiti wa chama na Lowassa kama mwenye chama, wamebaini kuwa ziara za kumtembelea Sumaye hospitalini Muhmbili, baada ya rais kwenda kumuona kiongozi huyo mstaafu, kuwa zina 'kick' hivyo wamepanga kama chama kufanya matembezi ya kishindo hospitalini hapo. Chanzo chetu kimebaini.

Tangu ndugu Sumaye alazwe hispitalini hapo, siku ya alhamisi ya wiki iliyopita kwa kusumbuliwa na maradhi ya moyo, hakuna hata sura moja ya kiongozi wa taifa CHADEMA iliyopeleka hata juisi ya ukwaju kwa kiongozi huyo muhimu katika chama hicho, ingawa wote walikuwa na taarifa juu ya kuugua kwake!

Inasemekana umuhimu wa Sumaye kutembelewa pale Muhimbili na chama hicho umeibuka baada ya rais Dkt Magufuli na waziri mkuu Majaliwa kumtembelea kiongozi huyo kwa kuwa 'media' imetawala stori hiyo...Hivyo CHADEMA taifa kama ilivyo ada kwao wamejipanga kutembea na nyota hiyo ya Sumaye.

Aidha, kwa sasa mipango kabambe inasukwa na CHADEMA ya namna ya Lowassa na Mbowe watakavyofanya ziara yao Muhimbili kwenda kumuona ndugu Sumaye, ambayo pamoja na mambo mengine, ziara hiyo imeandaliwa kuwa na mafuriko yatakayo tikisa jiji. Stay tuned for usanii huu. Hii ndio CHADEMA!
 
Siasa bwana!! Wakati wa kampen watu namaanisha CCM walipiga 'push up' kuonyesha kuwa wanaafya njema na wakawacheka wale walio na maradhi, yaan Lowasa. CCM hawa hawa waliwazuia watu kwenda msibani eti msiba niwaccm. Leo hii wanatoa pole na kuwatakia afya njema wanaoumwa. Mtazamo wangu... Kuna vitu hatutakiwa kutanguliza siasa kwa namna yoyote ile, magonjwa, vifo, ajali ...!!! Siasa isiwe uadui, jenga hoja na sio matusi au kung'ang'ania watu wakubaliane na wewe!!! Pole Mh Sumaye, Mungu ailaze roho ya marehemu Leticia Nyerere mahali pema pepon
 
Siasa bwana!! Wakati wa kampen watu namaanisha CCM walipiga 'push up' kuonyesha kuwa wanaafya njema na wakawacheka wale walio na maradhi, yaan Lowasa. CCM hawa hawa waliwazuia watu kwenda msibani eti msiba niwaccm. Leo hii wanatoa pole na kuwatakia afya njema wanaoumwa. Mtazamo wangu... Kuna vitu hatutakiwa kutanguliza siasa kwa namna yoyote ile, magonjwa, vifo, ajali ...!!! Siasa isiwe uadui, jenga hoja na sio matusi au kung'ang'ania watu wakubaliane na wewe!!! Pole Mh Sumaye, Mungu ailaze roho ya marehemu Leticia Nyerere mahali pema pepon

Malizia, "na waliojinyea kwenye kampeni wakawaumbua".
 
Tatizo lenu mnataka kila walifanyalo liletewe waandishi Wa habari,hawa vingozi kila siku wanaenda kumjulia hari na sio hao tu,tundu lisu,mdee,kubenea,mnyika na wengine kila siku wanapigana vikumbo mhimbili ila hawaiti mapaparazi,wanaenda wao tu bila nao,,,,sasa wewe ulingojea uckie TBC watangaze,,basi endelea kisubiri
 
Mpuuzi katika ubora wako ww yana kuhusu nin huo ndo umbea wenyewe hayo mambo ya upande wapili wachie wenyewe acha siasa za majitaka
 
Tatizo lenu mnataka kila walifanyalo liletewe waandishi Wa habari,hawa vingozi kila siku wanaenda kumjulia hari na sio hao tu,tundu lisu,mdee,kubenea,mnyika na wengine kila siku wanapigana vikumbo mhimbili ila hawaiti mapaparazi,wanaenda wao tu bila nao,,,,sasa wewe ulingojea uckie TBC watangaze,,basi endelea kisubiri
Wacha kujipa moyo jombaaaa...kubali ukweli kuwa jamaa washamtumia sasa hana dili
 
Fisiem kila kitu kwao ni siasa,tena siasa za uchochezi na unafiki.kwani Chadema wakienda kumuangalia mwanachama mwenzao kuna dhambi gani?
 
Siasa bwana!! Wakati wa kampen watu namaanisha CCM walipiga 'push up' kuonyesha kuwa wanaafya njema na wakawacheka wale walio na maradhi, yaan Lowasa. CCM hawa hawa waliwazuia watu kwenda msibani eti msiba niwaccm. Leo hii wanatoa pole na kuwatakia afya njema wanaoumwa. Mtazamo wangu... Kuna vitu hatutakiwa kutanguliza siasa kwa namna yoyote ile, magonjwa, vifo, ajali ...!!! Siasa isiwe uadui, jenga hoja na sio matusi au kung'ang'ania watu wakubaliane na wewe!!! Pole Mh Sumaye, Mungu ailaze roho ya marehemu Leticia Nyerere mahali pema pepon
Tafuta lingine
Sio hoja hii
 
Tatizo lenu mnataka kila walifanyalo liletewe waandishi Wa habari,hawa vingozi kila siku wanaenda kumjulia hari na sio hao tu,tundu lisu,mdee,kubenea,mnyika na wengine kila siku wanapigana vikumbo mhimbili ila hawaiti mapaparazi,wanaenda wao tu bila nao,,,,sasa wewe ulingojea uckie TBC watangaze,,basi endelea kisubiri
Sikweli
Mnajulikana hata yule Kubenea asiandike!!
 
Back
Top Bottom