Baada ya Mungu ni mzungu

Baada ya Mungu ni mzungu

,...halafu mimi obviously, unataka mtoto mwenye akili serious,, fanyafanya uzae na Niki wa pili genius ..........

umepatia
16¦1MUNGU
26¦1MZUNGU
36¦1NIKI WA PILI (muafrica)

yani apo ni ukweli mtupu, anaebisha kama akitoka MUNGU anafata MZUNGU aondoe, iyo Z kwenye neno MZUNGU aone atapata nini.....
 
Ni utumwa fikra tu. Mie nimekaa na kuishi nao. Sema wanajua vitu vingi sana. Wakti sisi bado tumelala.

Sijakuelewa, utumwa wa fikra kwa vipi? Ebu nijibu hapo kuhusu scientific discoveries! Angalia ndugu yangu usibishe tu, popote walipo weusi ni shida tu. Haiti iko kwa weupe lakini weusi wenzetu wachovu. SA, weupe ndio wanaoifanya iheshimike. Baadaya kuingia watawala waafrika, ona inavyodidimia. Angalia states zenye waafrika wengi USA crime rate iko juu sana. Nenda Linkeby Sweden ambayo ni makoa makuu ya wageni mostly somalis, hakufai, crime rate ni kubwa kulinganisha na miji ya weupe. Just some few examples.
 
Sijakuelewa, utumwa wa fikra kwa vipi? Ebu nijibu hapo kuhusu scientific discoveries! Angalia ndugu yangu usibishe tu, popote walipo weusi ni shida tu. Haiti iko kwa weupe lakini weusi wenzetu wachovu. SA, weupe ndio wanaoifanya iheshimike. Baadaya kuingia watawala waafrika, ona inavyodidimia. Angalia states zenye waafrika wengi USA crime rate iko juu sana. Nenda Linkeby Sweden ambayo ni makoa makuu ya wageni mostly somalis, hakufai, crime rate ni kubwa kulinganisha na miji ya weupe. Just some few examples.

Ongeza maisha ya Aborijino vs mzungu, hawa jamaa wanajilazimisha kuishi very poor life style katika nchi tajiri-ila sio waafrika ila ni weusi
 
hahahaa, kazi kwelikweli, naona watu wanatoapovu...wazungu hiki wazungu kile, lugha za generalization hivyo ni za vilaza tu. btw, huyo dogo alivyoimba hivyo alikuwa anatafuta vina tu.
 
hahahaa, kazi kwelikweli, naona watu wanatoapovu...wazungu hiki wazungu kile, lugha za generalization hivyo ni za vilaza tu. btw, huyo dogo alivyoimba hivyo alikuwa anatafuta vina tu.
vp ukienda kukata gogo Kwanzaa half u rudimentary undelete kuchangia mada. Ile avatar yako ya zamani was mdada cjui wake masai ana mdomo mref monastery uliiacha
 
Bible inasema, baada ya Mungu ni mwanadamu. Baada ya mwanadamu ni malaika. Sasa kama mzungu anatumia akili na anafanya makuu kuliko muafrika, ni obvious kuwa baada ya Mungu ni mzungu, kisha mchina, mjapani, mhindi, mwarabu na mwisho mwafrika
 
Kubishana na ukweli ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa zege,utaumia mwenyewe mwisho wa siku........Kiukweli hatusemi kuwa wazungu wametuzidi eti kwasababu tunapenda no,ni kwasababu ni ukweli usiopingika kuwa jamaa wametuzidi na watatuzidi zaidi na zaidi tukiendelea na huu ubwege wa kutaka kuonyesha uwezo wa kukinzana au kushindana na uwezo wao kwa kutazama rangi zao.Tofauti ya muafrika na mzungu ipo kwenye matumizi ya maarifa.Mfano tazama viongozi wetu wa leo baada ya kupewa uhuru na rasilimali zote kuwa mikononi mwao wanawadhalilisha wasisi na viongozi wa kweli wa kiafrika waliotutoa kwenye mikosi ya kufilisiwa utajiri wa asili kwa kupanda ndege tena kubembeleza turudishiwe ukoloni maana ndio wa muhimu kuliko uhuru tulioupatia shida kuupata.Sasa katika nature ya watu wa aina hii utasemaje muafrika anaakiri,kama viongozi ambao mumewapigia kura kwa mbwembwe ni vilaza mara mia kuliko wanaowaongoza?!
 
Siku zote katika maisha yangu huwa cpendi kujishusha hadhi kwa binadamu mwenzangu ambaye anaroho kama yangu. Ninasema hivyo baada ya kusikiliza wimbo wa msaani NIKI WA PILI katika wimbo wake wa staki kazi. Moja kati ya verse yake aliyosema "BAADA YA MUNGU NI MZUNGU hii kwangu naona NIKI yeye kama yeye kajidharau sana mbele ya hawa watu weupe. Kwani mzungu sio binadamu kama watu wengine?

Zito Kabwe ktk moja ya post zake mitandaoni alisema Uingereza wanatumia gesi kwa shuuli za kimaendeleo na uzalishaji ambapo kwa siku kiwango cha gesi wanachozalisha haifikii Tanzania. Tanzania kwa gesi tutayozalisha siku moja Mtwara tuna uwezo wa kuihudumia Uingereza kwa siku 5 bila shida yoyote. Lkn angalia uchumi wa Tanzania, je tunafanana na Uingereza? Wametupita au tumewapita?
 
Hivi tunaposema baada ya Mungu ni mzungu tunamaanisha nini?. Hivi tunajua tunachosema na kulinganisha?!!. Yaani kweli eti baada ya Mungu ni mzungu!! Tumefikia hatua ya kumlinganisha Mungu na binadamu kweli. Aisee! So sad!!!!!
 
"Baada ya Mungu ni mzungu alafu mimi, obvious unataka mtoto mwenye akili serious,fanyafanya uzae na Nikki wa pili genius"
 
kuna msabato mmoja hapo juu amenikera sana! analazimisha tuishi miaka ya agano la kale! anataka tuishi katika kivuli cha kuja kwa YESU! ilihali Yesu alishakuja! hatuhesabiwi haki kwa matendo ya sheria! ni ujinga kung'ang'ania agano la kale wakati Yesu alishaleta jipya! wewe shika hayo masabato yako na maalshababu wenzio wanao piga watu mawe hadi kufa! sisi tuache na Yesu wetu na agano letu lililofanywa kwa damu ya YESU wewe endelea na la kale la damu ya mbuzi na kondoo! kumbuka agano la kale linasema "amelaaniwa asiyeyafanya imara yote yaliyoandikwa katika tourati kwa kuyatenda" ninauhakika hakuna anayeutekeleza tourati yote ukiwemo wewe na esabato wenzako! hivyo kwakifupi kama unamind agano la kale kwa kushika siku,miezi nk. UMELAANIWA tena laana haswa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom