Basi inaonekana mungu kashakunyima hiyo unayoiomba,akili, watu wanaomba wapewe pesa wewe unaomba akili,unataka kua isaack newton au keyness?omba hela kwanza.
Kuna baadhi ya mambo huwa tunafanya ila majuto huja baadae tu japo hutokea mara baada ya kuona haja zako hazipo kwake ila baadae inakua kama laana kwa sababu analia umempotezea muda wake umemuumiza kile kilio hua sio kizur jamani unaeza jikuta unadate na wanawake kibao ila kama yy huwez mpata tena. everything happens for a reason, ipo namna si bure wewe
tooo much thread ya tatu au nne hii watu wamewachoka wake zao. ver sad... mtunze mkeo akinenepa mahips yatakuja tuuuu.
Kuna baadhi ya mambo huwa tunafanya ila majuto huja baadae tu japo hutokea mara baada ya kuona haja zako hazipo kwake ila baadae inakua kama laana kwa sababu analia umempotezea muda wake umemuumiza kile kilio hua sio kizur jamani unaeza jikuta unadate na wanawake kibao ila kama yy huwez mpata tena. everything happens for a reason, ipo namna si bure wewe
hicho ndo kitu kinaniumiza kichwa sasa.....lakini bado mm kijana na sijaoa. kwann nioe nisiyempenda?..ntakua nacheat tu na Co vzuri
If you want out then just be done with it. Tell her outright (ON second thoughts don't- Ucmuumize msichana wa watu). Just find a favorable moment and reason to leave her. She will get a good man who will be seven times better
BUT.
While you will surely (Yani hata ukitoka tu hapo nje) get a girl with proper (in your perspective) legs configuration, there is going to come a time when you realize she was the only one who you could've been better off with (EVER!).
When this time comes, just be a man and take responsibility for your decisions? Usije tujazia seva hapa ukituomba tuumize vichwa tupate namna ya kukurudisha kwa "The Love of Your Life". Ni hayo tu!
Kuna baadhi ya mambo huwa tunafanya ila majuto huja baadae tu japo hutokea mara baada ya kuona haja zako hazipo kwake ila baadae inakua kama laana kwa sababu analia umempotezea muda wake umemuumiza kile kilio hua sio kizur jamani unaeza jikuta unadate na wanawake kibao ila kama yy huwez mpata tena. everything happens for a reason, ipo namna si bure wewe
shari kamili.......anasem hampendi etiMkuu upo sawa, me namshauri atulie yupo kwenye steji ya pili ya ndoa, hapa huwa unaona kuwa umekosea kuoa mtu ambae si sahihi! Ila asihofu nalo litapita tu, halafu kwenye ndoa ishu si kugegedana tu! Kuna mama anaejua kulea watoto kimaadili, uaminifu, good companion, msiri wako, msaidizi, anaekuheshimu n.k
Sasa ndugu yetu ashawahi kujiuliza itakuwaje huyo mwenye tako na hips akawa ana mdomo mchafu, dharau,matusi,kisirani na akawa anakuletea mabwana mpaka kitandani mwake?
Namshauri atulie maana heri nusu shari kuliko .....
Nina mwanamke nimedumu naye miaka miwili lakini tatizo ni kwamba simpendi tena, kwakweli binti anatabia nzuri mkarimu na anajua kujishusha. Mimi mwenywe sijawahi kicheat lakini nimekuja kujigundua vitu navyopenda kwa mwanamke ni mwanamke mwenye miguu mizuri(ya bia) mahips na makalio.
Vitu hivyo mimi nikiviona basi nakua hoi, tatizo niliye naye hana hizo sifa za kunisisimua naogopa kumwacha sababu hajanikosea na wala sitarajii aje kunikosea mbeleni, she is loyal tatizo kwa sasa tu ndo hilo hanivutii. Je nifanyeje?
mjomba kuniuliza kwanini nilimtongoza na hana vigezo vyangu ilitokea tu bahati mbaya.
Je kuna mtu alishapitia hii hali?
Akiongeza makalio na miguu ya kichina itakuwaje ?