Si ni bora hapo ni kijijini mkuu kuna baadhi ya miji hapa tz ina nyumba kama na hii ya miaka50 naona kama wamehesabu vibaya naona kama ni miaka mi5 wamesahau
Mmmh jamani,the country so called Tzbonzar is devided in to several dimension,Premitive-countryside,Agrarian-rural,premodern-sub -ub,modern-towns and postmodern -cities then angalia sehemu kubwa ya nchi hiko part gani ndo utajua miaka 50 au cku 365?