GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Kama tulivyoona au kusikia kauli mbalimbali kuhusiana na haya matukio ya Mbagala na Gongo la Mboto, wanasema makazi ya watu yanatakiwa kuwa mbali na kambi za Jeshi. Kama ndiyo hivyo, Je makazi haya ya hapa Mbeya kwenye kambi ya jeshi ya Mbalizi na wao waondolewe kama sheria inavyosema?
Hebu bofya hapa uone jinsi kambi ya jeshi ya Mbalizi hapa Mbeya ilivyo karibu kabisa na makazi ya watu
Hebu bofya hapa uone jinsi kambi ya jeshi ya Mbalizi hapa Mbeya ilivyo karibu kabisa na makazi ya watu