Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Kila kada wa CCM sasa hivi utamsikia anajifanya yupo karibu na vijana hasa majenzii.
Hii ni suluhu ya rais Samia kujubalika kwa Watanzania?
Huku kuna kovu kubwa hasa kuuliwa kwa raia ambao hata hawakuwa karibu na siasa , wengine walikuutwa wakiangalia mpira kwenye vijiwe vya kahawa.
Shootong spree ikafanyika ili kulinda watawawala.
Hii ni suluhu ya rais Samia kujubalika kwa Watanzania?
Huku kuna kovu kubwa hasa kuuliwa kwa raia ambao hata hawakuwa karibu na siasa , wengine walikuutwa wakiangalia mpira kwenye vijiwe vya kahawa.
Shootong spree ikafanyika ili kulinda watawawala.