Match zote ngumu ila match ya away Madagascar ndo itaamua muelekeo wetu pia tumuombee Benin apigwe na Congo na Kama atashinda ashinde kwa magoli machache pia Tunahitaj kufunga magoli meng na kutokuruhusu kufungwa
kuna mijamaa wao magoli yao ni ya vichwa tuuu kuna lijamaa linaita chapamoteng dah nomo akikutana mwamnyeto au dikson job wala haruki atakuwa anauelekeza mpira anakotaka
Tanzania haina timu ya kucheza World 🌎 Cup, wao wanachezea kwenye vyombo vya habari na humu mitandaoni.
Tunaanza kupiga hesabu za faida kwenye karatasi. Tukijitahidi saaana tutaishia kushika nafasi ya tatu kisha tutasema bahati haikuwa upande wetu. Believe me.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.