Baada ya mafanikio ya CHADEMA, Polisi nao waiga

Baada ya mafanikio ya CHADEMA, Polisi nao waiga

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Baada ya chama cha demokrasia na maendeleo kufanikiwa kunasa walipua mabomu kwenye mkutano wao wa tarehe 15.06.2013 saa 1752 kupitia mitambo ya dvr, sasa jeshi la polisi nao wametangaza kufunga mitambo hiyo kwenye kumbi zote za starehe siku ya sikuku ya Idd lakini kilicho washangaza watanzani ni kuwa juzi Issaya Mugulu aliwataka watanzania kuanza kwenda misikitini na makanisani kwa kuepusha kulipuliwa na kuonyesha hilo aliimanisha ni kwamba jeshi la polisi walizuia mkutano wa siku kumi wa kanisa la ukombozi linaloongozwa na mchungaji Malisa licha ya kuwa tayari walikuwa wameshatumia gharama za maandalizi zaidi mil 50.

Swali wanaopaswa kujiuliza watanzania ni kwamba hizo dvr zinafungwa sehemu za starehe tu na siyo makanisani wala misikitini?
 
Kinachokusumbua wewe Crashwise ni udini. Unaona wivu waislam kuhamasishwa kwenda kufanya ibada zao baada ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani
 
Kinachokusumbua wewe Crashwise ni udini. Unaona wivu waislam kuhamasishwa kwenda kufanya ibada zao baada ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Si wivu, serikali imezidi kuwapendelea na si kwa bahati mbaya maana jeshi na nyadhifa nyingi serikalini wenye maamuzi ni waislamu. Mnapendelewa kila kona iwe darasani mkifeli inatengenezwa namna ya kuwanusuru.
 
Baada ya chama cha demokrasia na maendeleo kufanikiwa kunasa walipua mabomu kwenye mkutano wao wa tarehe 15.06.2013 saa 1752 kupitia mitambo ya dvr, sasa jeshi la polisi nao wametangaza kufunga mitambo hiyo kwenye kumbi zote za starehe siku ya sikuku ya Idd lakini kilicho washangaza watanzani ni kuwa juzi Issaya Mugulu aliwataka watanzania kuanza kwenda misikitini na makanisani kwa kuepusha kulipuliwa na kuonyesha hilo aliimanisha ni kwamba jeshi la polisi walizuia mkutano wa siku kumi wa kanisa la ukombozi linaloongozwa na mchungaji Malisa licha ya kuwa tayari walikuwa wameshatumia gharama za maandalizi zaidi mil 50 swali wanaopaswa kujiuliza watanzania ni kwamba hizo dvr zinafungwa sehemu za starehe tu na siyo makanisani wala misikitini...


Wewe bozongo kweli ina maana kamera hizo wameanza nazo CHADEMA pekee hapa nchini.
 
Wewe bozongo kweli ina maana kamera hizo wameanza nazo CHADEMA pekee hapa nchini.

Hebu twambie wewe,ni kina nani wanaozitumia kwenye mikutano na mikusanyiko mikubwa zaidi ya CDM pekee? Usiongelee zile za ndani ya taasisi na majumba ya watu kwa sababu hoja ni mikutano au mikusanyiko mikubwa!
 
Kinachokusumbua wewe Crashwise ni udini. Unaona wivu waislam kuhamasishwa kwenda kufanya ibada zao baada ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Kwa hiyo polisi ndio kielelezo cha waislam? Wewe kweli boyoyo!
 
Ina maana ccm wakitumie kwenye mikutano yao wakutangazie...kweli hujui hata maana ya hizo kamera.
Then upendeleo upi wa waislam unaonyeshwa hapa coz ni kwamba jeshi la polis limekuhakikishia usalama upo ndio maana imekwambia nenda kanisana nenda msikitini sasa hapo upendeleo upo wap..usikurupuke
 
Kinachokusumbua wewe Crashwise ni udini. Unaona wivu waislam kuhamasishwa kwenda kufanya ibada zao baada ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Ndugu yangu acha kuwa mvivu kama haya mabunge na mawaziri wa ccm wavivu wa kusoma na kusain mikataba ya kuliumiza taifa. hebu soma hiyo mada uone kama kuna sehemu mtoa mada ameonesha chembe ya udini dhidi ya waislamu halafu urudi uchangie mada. au na wewe ndio walewale wa chama cha majambazi?
 
Wewe bozongo kweli ina maana kamera hizo wameanza nazo CHADEMA pekee hapa nchini.

Sasa mama matusi ya nini? ukiongea tu bila kutukana hutoeleweka....kwa kuwa wewe ni mama mtu mzima nitakujibu kwa heshima ila next time nitakupa za uso bila kujali uso wako umekongoroka kwa mikorogo na utu uzima wako...Ni kuulize kabla ya chadema kuzitumia uwanja wa soweto na kuwanasa polisi wakirusha mabomu na kupiga watu risasi...polisin iliwahi kutumia technology hii...
 
Udini siyo mfumo wa asili ya mtanzania,ni mbegu ya watu wachache wenye ubinafsi ,ambao hata vtabu vya dini haviruhusu,unamuabudu Mungu yupi ukamchukia mwenzako anayeabudu kama wewe?mafundisho ya upotoshaji yenye adili ya kisiasa tena siasa kipofo,ndiyo inatufikisha hapa tulipo,na si uelewa juu ya ibada,Mungu kaelekeza anapenda aabudiwe vipi,ibada nzuri ni ipi,sasa haya yanatoka wapi?kama siyo kubeba mawazo ya potoshi ya viongozi feki?TUJICHUNGUZE NA MANENO YETU,Mungu ni Upendo si kuchukiana kuona wewe na dini yako ni bora,ya Mwenzako si Bora,Haifai,Hii ni Roho ya Shetwan.
 
Back
Top Bottom