Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,306
- 271,572
Mkurugenzi wa NEMC Samuel Gwamaka , amedai kwamba baada ya kudhibiti makelele kwenye maeneo ya Ulevi , sasa anaanza rasmi kampeni ya kudhibiti nyumba za ibada zinazopiga makelele .
Tunamtakia kila la heri kwenye kampeni yake hiyo na Mungu amfanyie Wepesi. Amina
Pia, soma: NEMC yazifungia Bar, Kumbi za Starehe 89 zikiwemo Wavuvi Kempu, Boardroom, Ware House
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tunamtakia kila la heri kwenye kampeni yake hiyo na Mungu amfanyie Wepesi. Amina
Pia, soma: NEMC yazifungia Bar, Kumbi za Starehe 89 zikiwemo Wavuvi Kempu, Boardroom, Ware House
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
