Baada ya kusema bye bye ios

We jamaa bilashaka ni engineer wa simu, nimependa jinsi ulivyoelezea in technical wise
 
Ndio mkuu
Itakuwa macho yako yako sensitive na mwanga. My guess ni kuwa kwenyw iPhone ulikuwa umeset au default set brightness/contrast ilikuwa chini kuliko kwenye new device.

Kama ndivyo set brightness to fixed instead of auto. As addition kama ni mpenzi wa dark theme huwa comfortable kwa macho, haswa usiku au sehemu zenye giza.
 
Wamesema hizi Amoled display zinakuwa na shida kwa baadhi ya watumiaji. Macho yangu yako vizuri sana
 
Nawaza nirudi tu ios, maana nimekaa nayo muda mrefu na sijaona hizi changamoto. Nimajaribu kufatiria huko google wanasema display ya Amoled pia inachagia kuumiza macho pamoja na kichwa.

..and we will comeback Home x2

..Home again

From now on..these eyes wonโ€™t be blinded by the lights


The Greatest showman
 
Mkuu itakua unashida ww mwenyew...

Nipo na note 10 hapa sjawah umwa hata sikio..
Unajua hata ukiinunua simu ,kama ulivyonielekeza hii simu ili upate ile pure amoled kuna kitu unakiset ili color zikae vizur ,nenda kwenye color scheme weka iwe saturated kisha chini yake weka default na uinjoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ