bunyebunye
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 530
- 676
Unajifurahisha kweli. Marekani kapigwa wapi?
Ukivuka huu mstari nitakudunda, mwanaume anavuka na anakutandika kofi. Basi unaanza aah bahati yako wakati unavuka umeruka mstari hukuukanyaga ukaufuta, ungeufuta ungenijua mimi ni naniAnauliwa generali wako mkubwa tu, halafu wewe unaenda kutupa mayai viza nje ya ukuta wa nyumba yake aliyojenga maili zadi ya 8000 kutoka anakoishi halafu unasema umelipiza kisasi? Pumbavu!
Waarabu wote na jamii yao wanapenda sana kujisifu.
Hata vita ya siku 6 kati ya israel na waarabu redio za kiaarbu zilikua zinatangaza ushindi wakati walisha malizwa mapema kabisa na israel kuchukua 6 times ya ardhi aliyo kua nayo na nyingine hadi leo hajawarudishia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamaae si mlikuwa mnashangilia shoga Trump alivyokuwa anatoa vitisho? Lakn mwanaume kajibu na kama hakuna mmarekani yeyote aliyekufa naomba basi USA aweke picha za uharibifu ili watu wajue je kwa uharibifu huo hakuna uwezekano Wa kutokea maafa?Mnaotaka vita ni nyie washamba wa mtadaoni, ukweli wa haya mambo wanayajua wao wenyewe
Iran inapewa sifa kwa uthubutu,kuweza kumiliki Ballistic Missiles ambazo zimeweza kupiga target,zimeweza kutozuiliwa na THAAD(Terminal High Altitude Area Defence) ambayo ni mifumo bora kabisa ya kutungulia makombora,lakini haikufua dafu. THAAD inafananishwa kiuwezo sawa na S-400(NATO Name:SA-21 Growler) mifumo mahiri ya Russia ya kutungulia makombora anti-aircraft/missile. Yote hiyo haikufua dafu.Iran inatambua fika haina uwezo wa kupambana na Marekani na hata Marekani hawako tayari kwa Vita nyingine huko Mashariki ya Kati ila hayo mashambulio yamewafanya raia wa Iran kutuliza hasira (baada ya mauaji ya Soleimani) na kurudisha imani kwa Ayatollah na Serikali yao (baada ya zile ghasia sababu ya hali mbaya ya kiuchumi) hivyo yalikuwa ya kimkakati zaidi.
Iran sio mwarabu wala hakushiriki vita hiyo.Waarabu wote na jamii yao wanapenda sana kujisifu.
Hata vita ya siku 6 kati ya israel na waarabu redio za kiaarbu zilikua zinatangaza ushindi wakati walisha malizwa mapema kabisa na israel kuchukua 6 times ya ardhi aliyo kua nayo na nyingine hadi leo hajawarudishia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo deep sana mdada kwenye mambo tofauti tofauti, bravooo!!Waarabu wote na jamii yao wanapenda sana kujisifu.
Hata vita ya siku 6 kati ya israel na waarabu redio za kiaarbu zilikua zinatangaza ushindi wakati walisha malizwa mapema kabisa na israel kuchukua 6 times ya ardhi aliyo kua nayo na nyingine hadi leo hajawarudishia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua tofauti ya hummer vs humvee.Vita sio nzuri kwahiyo watu wazima mnashindwa kufanya kazi mnawaza vita madhara ya vita ni makubwa vita sio mchezo
Acheni kufurahia vita
mkuu Tena lazma Kuna soldiers wa us wametwangwa Trump kafanya kupiga kimya ili kuzuia public panic ya wamarekanMwanzo Trump alisema kama Iran itaretaliate basi Marekani itagonga hadi cultural sites za Iran. Hata hivyo Iran imejibu.
Baada ya Iran kujibu, Marekani anakuja na propaganda kuwa hakufa mtu hata mmoja, Sasa swali ni Je Kambi ya jeshi lako ikipigwa hata kama hakufa mwanajeshi hata mmoja ndo hujapigwa? Kijeshi unakuwa umepigwa, maana kuharibiwa kwa vifaa vyako vya kijeshi na jeshi la adui ni kupigwa
Baada ya hapo, Marekani inakuja na hoja eti irani imepiga off target makusudi ili wasiue wamarekani, Ukweli ni Kwamba Makombora ya Irani yametua ndani ya Kambi za wamarekani, Sio nje.
Yamefanya uharibifu wa miundombinu kadhaa ndani ya kambi hizo.Hata picha za Sattelites zimeonyesha majengo kadhaa ya hizo base yakiwa yamechakazwa vibaya. Je huko ni kupiga off target?
Kiufupi ni kwamba Marekani ilidhani Iran itanywea, itaogopa, au itajibu kupitia njia nyingine zisizokuwa direct. Kitendo cha Iran kuvurumisha vyombo na kuchakaza hizo military base kimewashangaza wakina Trump na Pompeo kuwa kumbe hawa jamaa sasa wako tayari kwa lolote, ndiyo maana wakina Trump wanabadili goal post!
Kiufupi, adui akikung'uta Kambi ya Jeshi lako haijalishi kama amekufa askari hicho kitendo cha kuharibu mali tu tayari inabidi uwe msala kama kweli jeshi lilopigwa ni ngangari!
Cheki jengo moja la kambi lilivyochakazwa na makombora ya Iran
View attachment 1316594
Yani mkeo kapewa mimba na msela huko nje umepata hasira umeamua ulipize kwa kutembea na mke wake ili naye aumie we unapiga magoli njeUkivuka huu mstari nitakudunda, mwanaume anavuka na anakutandika kofi. Basi unaanza aah bahati yako wakati unavuka umeruka mstari hukuukanyaga ukaufuta, ungeufuta ungenijua mimi ni nani
Marekani hakutegemea kilichotokea mashabiki mnajipa moyo tu ia ukweli ni kwamba hakuna ambaye aisha thubutu kushambulia kambi za Marekani kwa zama hizi achana na hao waasi ambao hata wanakuwa hawajulikani wako wapi wanapigana guerrilla war, lakini nchi kama nchi ipige kambi ya Marekani na iseme kabisa sisi ndiyo tumezishambulia never ever
Muajemi kwakweli kaonyesha kwamba Amrica si not great again. Kamanda wao kauawa akiwa Iraq nao wameshambulia huko huko Iraq.
Marekani kama kidume akatupe bomu Iran sasa.
saiz wanaomba kukaa meza moja wakat walisema wata ipiga iran fast and hard lakn saiz wameona jamaa wako tayal kwa lolote wanakuja kutuzugaMwanzo Trump alisema kama Iran itaretaliate basi Marekani itagonga hadi cultural sites za Iran. Hata hivyo Iran imejibu.
Baada ya Iran kujibu, Marekani anakuja na propaganda kuwa hakufa mtu hata mmoja, Sasa swali ni Je Kambi ya jeshi lako ikipigwa hata kama hakufa mwanajeshi hata mmoja ndo hujapigwa? Kijeshi unakuwa umepigwa, maana kuharibiwa kwa vifaa vyako vya kijeshi na jeshi la adui ni kupigwa
Baada ya hapo, Marekani inakuja na hoja eti irani imepiga off target makusudi ili wasiue wamarekani, Ukweli ni Kwamba Makombora ya Irani yametua ndani ya Kambi za wamarekani, Sio nje.
Yamefanya uharibifu wa miundombinu kadhaa ndani ya kambi hizo.Hata picha za Sattelites zimeonyesha majengo kadhaa ya hizo base yakiwa yamechakazwa vibaya. Je huko ni kupiga off target?
Kiufupi ni kwamba Marekani ilidhani Iran itanywea, itaogopa, au itajibu kupitia njia nyingine zisizokuwa direct. Kitendo cha Iran kuvurumisha vyombo na kuchakaza hizo military base kimewashangaza wakina Trump na Pompeo kuwa kumbe hawa jamaa sasa wako tayari kwa lolote, ndiyo maana wakina Trump wanabadili goal post!
Kiufupi, adui akikung'uta Kambi ya Jeshi lako haijalishi kama amekufa askari hicho kitendo cha kuharibu mali tu tayari inabidi uwe msala kama kweli jeshi lilopigwa ni ngangari!
Cheki jengo moja la kambi lilivyochakazwa na makombora ya Iran
View attachment 1316594
Hivi Trump baada ya kumuua kamanda alisemaje vile kwamba Iran wakithubutu atafanyaje? Nikumbushe tafadhari .....Yani mkeo kapewa mimba na msela huko nje umepata hasira umeamua ulipize kwa kutembea na mke wake ili naye aumie we unapiga magoli nje
Hao IRAN wajanja wamegundua mashushushu ndio wanaompamba ndio wanaomponza, na ndio maana aliwapima kwa kuwapa offer ya 80$ milion walete kichwa cha trump. Hapo ndipo IRAN aliweza kujua nani rafiki nani mamluki
slogan ya IRAN "tumevuka mwaka lakini bado hatujavuka matatizo na tukitaka kutatua tatizo tusisababishe tatizo ambalo litaleta matatizo makubwa yatayo igharimu nchi"
It's Scars