bunyebunye
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 530
- 676
Unajifurahisha kweli. Marekani kapigwa wapi?
Kwani hajapigwa, Trump alisema endapo Iran watajibu atapiga sites zao 52 lakini Iran wamepiga military base zake 2 mbona hajafanya chochote? Hata yeye anaogopa vita maana anajua anaweza poteza nafasi ya kwanza kiuchumi.
Over