Baada ya kupigwa na Iran, Marekani inabadili goal post

Unajifurahisha kweli. Marekani kapigwa wapi?

Kwani hajapigwa, Trump alisema endapo Iran watajibu atapiga sites zao 52 lakini Iran wamepiga military base zake 2 mbona hajafanya chochote? Hata yeye anaogopa vita maana anajua anaweza poteza nafasi ya kwanza kiuchumi.

Over
 
Anauliwa generali wako mkubwa tu, halafu wewe unaenda kutupa mayai viza nje ya ukuta wa nyumba yake aliyojenga maili zadi ya 8000 kutoka anakoishi halafu unasema umelipiza kisasi? Pumbavu!
Ukivuka huu mstari nitakudunda, mwanaume anavuka na anakutandika kofi. Basi unaanza aah bahati yako wakati unavuka umeruka mstari hukuukanyaga ukaufuta, ungeufuta ungenijua mimi ni nani

Marekani hakutegemea kilichotokea mashabiki mnajipa moyo tu ia ukweli ni kwamba hakuna ambaye aisha thubutu kushambulia kambi za Marekani kwa zama hizi achana na hao waasi ambao hata wanakuwa hawajulikani wako wapi wanapigana guerrilla war, lakini nchi kama nchi ipige kambi ya Marekani na iseme kabisa sisi ndiyo tumezishambulia never ever

Muajemi kwakweli kaonyesha kwamba Amrica si not great again. Kamanda wao kauawa akiwa Iraq nao wameshambulia huko huko Iraq.

Marekani kama kidume akatupe bomu Iran sasa.
 
Waarabu wote na jamii yao wanapenda sana kujisifu.


Hata vita ya siku 6 kati ya israel na waarabu redio za kiaarbu zilikua zinatangaza ushindi wakati walisha malizwa mapema kabisa na israel kuchukua 6 times ya ardhi aliyo kua nayo na nyingine hadi leo hajawarudishia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Muajemi na Mwarabu ni vitu viwili tofauti,acha kuongea usiyoyajua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaotaka vita ni nyie washamba wa mtadaoni, ukweli wa haya mambo wanayajua wao wenyewe
Mamaae si mlikuwa mnashangilia shoga Trump alivyokuwa anatoa vitisho? Lakn mwanaume kajibu na kama hakuna mmarekani yeyote aliyekufa naomba basi USA aweke picha za uharibifu ili watu wajue je kwa uharibifu huo hakuna uwezekano Wa kutokea maafa?

Alizoe kushambulia bila kujibiwa sasa wanaomba kwenda mezani
Screenshot_20200109-124246.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran inatambua fika haina uwezo wa kupambana na Marekani na hata Marekani hawako tayari kwa Vita nyingine huko Mashariki ya Kati ila hayo mashambulio yamewafanya raia wa Iran kutuliza hasira (baada ya mauaji ya Soleimani) na kurudisha imani kwa Ayatollah na Serikali yao (baada ya zile ghasia sababu ya hali mbaya ya kiuchumi) hivyo yalikuwa ya kimkakati zaidi.
Iran inapewa sifa kwa uthubutu,kuweza kumiliki Ballistic Missiles ambazo zimeweza kupiga target,zimeweza kutozuiliwa na THAAD(Terminal High Altitude Area Defence) ambayo ni mifumo bora kabisa ya kutungulia makombora,lakini haikufua dafu. THAAD inafananishwa kiuwezo sawa na S-400(NATO Name:SA-21 Growler) mifumo mahiri ya Russia ya kutungulia makombora anti-aircraft/missile. Yote hiyo haikufua dafu.

Iran,inaonekana ni nchi yenye uthubutu,kuchezea sharubu za Marekani kama Taifa,kwani huko nyuma ni wanamgambo au vikundi ambavyo siyo nchi huru,tena kwa kujificha huwa wamejaribu kupambana na US. Hivyo kwa nchi huru kutangaza hadharani kuwa tumepiga kambi zenu,tena kwa makombora bila woga,basi jamaa ni vidume na wako tayari kwa lolote. Hakuna ambae amewahi kujaribu,tena naweza kusema tangu shambulizi la Pearl Habour ambapo US alichakazwa Vibaya na Japan maika ya 1940's.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarabu wote na jamii yao wanapenda sana kujisifu.


Hata vita ya siku 6 kati ya israel na waarabu redio za kiaarbu zilikua zinatangaza ushindi wakati walisha malizwa mapema kabisa na israel kuchukua 6 times ya ardhi aliyo kua nayo na nyingine hadi leo hajawarudishia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iran sio mwarabu wala hakushiriki vita hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarabu wote na jamii yao wanapenda sana kujisifu.


Hata vita ya siku 6 kati ya israel na waarabu redio za kiaarbu zilikua zinatangaza ushindi wakati walisha malizwa mapema kabisa na israel kuchukua 6 times ya ardhi aliyo kua nayo na nyingine hadi leo hajawarudishia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo deep sana mdada kwenye mambo tofauti tofauti, bravooo!!
 
Sisi tunachojua ni kwamba Makombora ya Iran yamehit target, Yaani yamegonga na kuchakaza majengo ya kambi ya marekani. kama kafa mtu au hakufa mtu sisi hiyo hatujui!
 
Mwanzo Trump alisema kama Iran itaretaliate basi Marekani itagonga hadi cultural sites za Iran. Hata hivyo Iran imejibu.

Baada ya Iran kujibu, Marekani anakuja na propaganda kuwa hakufa mtu hata mmoja, Sasa swali ni Je Kambi ya jeshi lako ikipigwa hata kama hakufa mwanajeshi hata mmoja ndo hujapigwa? Kijeshi unakuwa umepigwa, maana kuharibiwa kwa vifaa vyako vya kijeshi na jeshi la adui ni kupigwa

Baada ya hapo, Marekani inakuja na hoja eti irani imepiga off target makusudi ili wasiue wamarekani, Ukweli ni Kwamba Makombora ya Irani yametua ndani ya Kambi za wamarekani, Sio nje.

Yamefanya uharibifu wa miundombinu kadhaa ndani ya kambi hizo.Hata picha za Sattelites zimeonyesha majengo kadhaa ya hizo base yakiwa yamechakazwa vibaya. Je huko ni kupiga off target?

Kiufupi ni kwamba Marekani ilidhani Iran itanywea, itaogopa, au itajibu kupitia njia nyingine zisizokuwa direct. Kitendo cha Iran kuvurumisha vyombo na kuchakaza hizo military base kimewashangaza wakina Trump na Pompeo kuwa kumbe hawa jamaa sasa wako tayari kwa lolote, ndiyo maana wakina Trump wanabadili goal post!

Kiufupi, adui akikung'uta Kambi ya Jeshi lako haijalishi kama amekufa askari hicho kitendo cha kuharibu mali tu tayari inabidi uwe msala kama kweli jeshi lilopigwa ni ngangari!

Cheki jengo moja la kambi lilivyochakazwa na makombora ya Iran

View attachment 1316594
mkuu Tena lazma Kuna soldiers wa us wametwangwa Trump kafanya kupiga kimya ili kuzuia public panic ya wamarekan
 
Ukivuka huu mstari nitakudunda, mwanaume anavuka na anakutandika kofi. Basi unaanza aah bahati yako wakati unavuka umeruka mstari hukuukanyaga ukaufuta, ungeufuta ungenijua mimi ni nani

Marekani hakutegemea kilichotokea mashabiki mnajipa moyo tu ia ukweli ni kwamba hakuna ambaye aisha thubutu kushambulia kambi za Marekani kwa zama hizi achana na hao waasi ambao hata wanakuwa hawajulikani wako wapi wanapigana guerrilla war, lakini nchi kama nchi ipige kambi ya Marekani na iseme kabisa sisi ndiyo tumezishambulia never ever

Muajemi kwakweli kaonyesha kwamba Amrica si not great again. Kamanda wao kauawa akiwa Iraq nao wameshambulia huko huko Iraq.

Marekani kama kidume akatupe bomu Iran sasa.
Yani mkeo kapewa mimba na msela huko nje umepata hasira umeamua ulipize kwa kutembea na mke wake ili naye aumie we unapiga magoli nje


Hao IRAN wajanja wamegundua mashushushu ndio wanaompamba ndio wanaomponza, na ndio maana aliwapima kwa kuwapa offer ya 80$ milion walete kichwa cha trump. Hapo ndipo IRAN aliweza kujua nani rafiki nani mamluki

slogan ya IRAN "tumevuka mwaka lakini bado hatujavuka matatizo na tukitaka kutatua tatizo tusisababishe tatizo ambalo litaleta matatizo makubwa yatayo igharimu nchi"



It's Scars
 
Mwanzo Trump alisema kama Iran itaretaliate basi Marekani itagonga hadi cultural sites za Iran. Hata hivyo Iran imejibu.

Baada ya Iran kujibu, Marekani anakuja na propaganda kuwa hakufa mtu hata mmoja, Sasa swali ni Je Kambi ya jeshi lako ikipigwa hata kama hakufa mwanajeshi hata mmoja ndo hujapigwa? Kijeshi unakuwa umepigwa, maana kuharibiwa kwa vifaa vyako vya kijeshi na jeshi la adui ni kupigwa

Baada ya hapo, Marekani inakuja na hoja eti irani imepiga off target makusudi ili wasiue wamarekani, Ukweli ni Kwamba Makombora ya Irani yametua ndani ya Kambi za wamarekani, Sio nje.

Yamefanya uharibifu wa miundombinu kadhaa ndani ya kambi hizo.Hata picha za Sattelites zimeonyesha majengo kadhaa ya hizo base yakiwa yamechakazwa vibaya. Je huko ni kupiga off target?

Kiufupi ni kwamba Marekani ilidhani Iran itanywea, itaogopa, au itajibu kupitia njia nyingine zisizokuwa direct. Kitendo cha Iran kuvurumisha vyombo na kuchakaza hizo military base kimewashangaza wakina Trump na Pompeo kuwa kumbe hawa jamaa sasa wako tayari kwa lolote, ndiyo maana wakina Trump wanabadili goal post!

Kiufupi, adui akikung'uta Kambi ya Jeshi lako haijalishi kama amekufa askari hicho kitendo cha kuharibu mali tu tayari inabidi uwe msala kama kweli jeshi lilopigwa ni ngangari!

Cheki jengo moja la kambi lilivyochakazwa na makombora ya Iran

View attachment 1316594
saiz wanaomba kukaa meza moja wakat walisema wata ipiga iran fast and hard lakn saiz wameona jamaa wako tayal kwa lolote wanakuja kutuzuga
 
Yani mkeo kapewa mimba na msela huko nje umepata hasira umeamua ulipize kwa kutembea na mke wake ili naye aumie we unapiga magoli nje


Hao IRAN wajanja wamegundua mashushushu ndio wanaompamba ndio wanaomponza, na ndio maana aliwapima kwa kuwapa offer ya 80$ milion walete kichwa cha trump. Hapo ndipo IRAN aliweza kujua nani rafiki nani mamluki

slogan ya IRAN "tumevuka mwaka lakini bado hatujavuka matatizo na tukitaka kutatua tatizo tusisababishe tatizo ambalo litaleta matatizo makubwa yatayo igharimu nchi"



It's Scars
Hivi Trump baada ya kumuua kamanda alisemaje vile kwamba Iran wakithubutu atafanyaje? Nikumbushe tafadhari .....
Unajua Muajemi si mtu mzmuri aisee
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom