hataomba radhi maana kile huitwa kiburi cha uzima.mnakumbuka yule mheshimiwa aliyegaragazwa huko Mwanza akaondoa furniture kwenye ofisi ya Mbunge?Hawa shuleni walienda na vishahada walipata lakini ushamba na maisha ya ngumi mkononi yalibaki pale pale-Nachelea kutoa rai kuwa hawakuelimika!.Wewe Waziri gani anaenda kwa ATM halafu anapiga simu isiyoisha akijua wateja wengine wanasubiri na hakuna VIP status kwenye ATM?
Mheshimiwa Ngeleja sasa ni wakati wako wa kuokoka na kumpokea Yesu kuwa BWANA wa maisha yako,ukamtafute yule mlinzi umwombe radhi na pengine MUNGU ataghairi ili unusurike jimboni 2015,vinginevyo imekula kwako,laana iko juu yako Mheshimiwa!