hose jozee
New Member
- May 7, 2012
- 3
- 3
ni kitendo kisichopendeza ktk jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hataomba radhi maana kile huitwa kiburi cha uzima.mnakumbuka yule mheshimiwa aliyegaragazwa huko Mwanza akaondoa furniture kwenye ofisi ya Mbunge?Hawa shuleni walienda na vishahada walipata lakini ushamba na maisha ya ngumi mkononi yalibaki pale pale-Nachelea kutoa rai kuwa hawakuelimika!.Wewe Waziri gani anaenda kwa ATM halafu anapiga simu isiyoisha akijua wateja wengine wanasubiri na hakuna VIP status kwenye ATM?
Mheshimiwa Ngeleja sasa ni wakati wako wa kuokoka na kumpokea Yesu kuwa BWANA wa maisha yako,ukamtafute yule mlinzi umwombe radhi na pengine MUNGU ataghairi ili unusurike jimboni 2015,vinginevyo imekula kwako,laana iko juu yako Mheshimiwa!
Great thinker unawaza hayo!Hakuna uhusiano kati ya matukio hayo mawili!Ngeleja kafutwa kazi kwa kutowajibika,si kwa kumpiga huyo mlinzi!Tuache tabia ya kuhusisha matukio yanayofuatana kwamba la pili limetokana na kwanza!
wapo wengi waliokuwa wakila kwa mgongo wake! Si wote waliao msibani wanamlilia marehemu! Kuna kila dalili ulikuwa ukinufaika na matunda ya nafasi yake........................ Utaisoma.