Bw. Ngeleja akiwa waziri alitamani na aliamini kila mtu ni lazima amtambuwe kuwa yeye ndiye Waziri hata pale anapokiuka taratibu za kazi kwa tasisi zingine. Kumbukeni alivyosababisha kumfukuzisha kazi mlizi wa benki moja aliyemwambia hairuhusiwi kuongea na simu kwenye ATM.
Mheshimiwa kumbuka ni wapi ulipoanguka ukatubu. Tatizo kubwa ni kiburi kumbuka ulipoyang'oa mabango ya kanisa kwa kiburi. Mheshimiwa wenye kiburi hushushwa na hupata aibu. Ndugu yangu YESU anakupenda.
watanzania kwa kupenda kuongelea watu na si kuongelea maendeleo, haki kabisa mna laana. Msijifanye nyinyi ni malaika msiokuwa na makosa au nyinyi ni miungu wa kutolea hukumu maandiko ya magazeti ya udaku?
As far aa I am concerned kilichomfikisha hapo Njeleja ni hilo sakata. Chozi la myonge bana ni sala yenye nguvu mno na Mwenyezi Mungu hawezi katu kuifumbia macho.
Watanzania kwa kupenda kuongelea watu na si kuongelea maendeleo, haki kabisa mna laana. Msijifanye nyinyi ni malaika msiokuwa na makosa au nyinyi ni miungu wa kutolea hukumu maandiko ya magazeti ya udaku?
Watanzania kwa kupenda kuongelea watu na si kuongelea maendeleo, haki kabisa mna laana. Msijifanye nyinyi ni malaika msiokuwa na makosa au nyinyi ni miungu wa kutolea hukumu maandiko ya magazeti ya udaku?
wapo wengi waliokuwa wakila kwa mgongo wake! Si wote waliao msibani wanamlilia marehemu! Kuna kila dalili ulikuwa ukinufaika na matunda ya nafasi yake........................ Utaisoma.
Bw. Ngeleja akiwa waziri alitamani na aliamini kila mtu ni lazima amtambuwe kuwa yeye ndiye Waziri hata pale anapokiuka taratibu za kazi kwa tasisi zingine. Kumbukeni alivyosababisha kumfukuzisha kazi mlizi wa benki moja aliyemwambia hairuhusiwi kuongea na simu kwenye ATM.
bado kidogo atatembea na Tized ileven
Bw. Ngeleja akiwa waziri alitamani na aliamini kila mtu ni lazima amtambuwe kuwa yeye ndiye Waziri hata pale anapokiuka taratibu za kazi kwa tasisi zingine. Kumbukeni alivyosababisha kumfukuzisha kazi mlizi wa benki moja aliyemwambia hairuhusiwi kuongea na simu kwenye ATM.
Bw. Ngeleja akiwa waziri alitamani na aliamini kila mtu ni lazima amtambuwe kuwa yeye ndiye Waziri hata pale anapokiuka taratibu za kazi kwa tasisi zingine. Kumbukeni alivyosababisha kumfukuzisha kazi mlizi wa benki moja aliyemwambia hairuhusiwi kuongea na simu kwenye ATM.
Hivi Bishop Kakobe nae bado hajatoa 'ushuhuda' juu ya hili?