Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Wakuu kama ilivyo juu naombeni ushauri,
Wife nilimtajia kiasi cha mshahara wangu kutokana na umakini wake na kutokuwa na tamaa ila naona kama nimekosea hivi, maana deni kidogo utasikia mwezi huu ulipe kwa kuwa anajua inaingia kiasi gani. Je, hii ni poa wadau?
Naombeni maoni nifanyeje baada ya kufanya kosa hili kubwa?
Wife nilimtajia kiasi cha mshahara wangu kutokana na umakini wake na kutokuwa na tamaa ila naona kama nimekosea hivi, maana deni kidogo utasikia mwezi huu ulipe kwa kuwa anajua inaingia kiasi gani. Je, hii ni poa wadau?
Naombeni maoni nifanyeje baada ya kufanya kosa hili kubwa?