Hakuna wa kuwagusa hao
[/COLOR]Hao niliyowawekea red hapo wanatakiwa kushughulikiwa kama special case maana hawa ni watu waliosababisha matatizo mengi sana kwa jamii. Hii wizara ya afya na taasisi zake imekua na magumashi mengi sana yaliyoleta hasara kutokana na uzembe wa wachache hawa.