sasa hivi sisi wote tuliotuhumiwa wanatutegemea sana kwenye bajeti ijayo. Hivyo kutumwaga fasta fasta hawezi. Lakini shida yenu si mlitaka awaondoe mawaziri sita tu? Acheni roho mbaya!
3. Omar Chambo - PS Uchukuzi
4. Mkurugenzi - TPA
5. Mkurugenzi - ATC
6. Principal - Chuo cha Bahari Dar es Salaam
7. Mkurugenzi - MSD
8. Principal - Chuo cha Elimu Chang'ombe
9. Principal - Mkwawa University
10. VC - UDOM
11. etc
Tumeona Mustafa Mkullo, Ngelleja, Ezekiel Maige, Haji Mponda, Chami, Omar Nundu wakimwagwa kwenye baraza jipya. Je ni wakuu gani wa taasisi wanaofuata?
1. Ekelege - TBS
12.Mkurugenzi wa CHC pamoja na Bodi ya wakurugenzi. Hawa wameshikiana na Musta Mkullo kuuza kiwanja.
12. Dr Mwele Malecela wa NIMR, huyu ndiye alikuwa anashirikiana na Blandina Nyoni kwenye kutumia vibaya fedha za Wizara ya Afya zilizokuwa zinapelekwa pale.
13.Mkurugezi wa Bohari Kuu ya Madawa, huyu ni mzembe ambaye amesababisha dawa za mabillioni ziharibike wakati zahanati vijijini hazina dawa
14. Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya kwa kuwa yeye ndiye alikuwa anatekeleza maagizo ya Blandina Nyoni kuhamisha fedha bila kufuata taratibu za fedha na sheria ya manunuzi.
DG wa Bandari kwa kusababisha Nundu na Mfutakamba kutemwa na TBS kwa ajili ya Dr. Chami. JK alisema watendaji wa mashirika na taasisi waliosababisha mawaziri wang'oke na wao wataondolewa.