Baada ya kifo chako utajikuta ukiwa katika makazi mapya

SUTAGI-

JF-Expert Member
Nov 9, 2018
269
511
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.

Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.

Moto imetumika tu kuashiria kiwango cha mateso watakayokutana nayo watu walioishi duniani kwa kutenda dhambi.

Uhalisia upo hivi: baada ya kifo chako utajikuta ukiwa ktk makazi mapya.

Katika makazi hayo maisha yako yote uliyoishi duniani yatakuwa bayana kwa kila mtu aliyepo hapo.

Kimsingi watu wote watakaokuwepo eneo hilo wametoka duniani baada ya kifo.

Kwa kuwa matendo yetu yote tuliyoishi duniani yatakuwa bayana basi tutaona wabaya wetu na wema wetu.

Utapokea maumivu mara dufu ya maovu yako. Yaani kwa mfano kama hapa duniani ulikamatwa ukizini na mke wa mtu, the guilt you feel itakuwa mara dufu zaidi huko kwenye makazi mapya.

Yani fikiria leo hii umekamatwa ukiiba - maumivu, udharirishaji, kipigo utakachopokea itakuwa cha mtoto ukilinganisha ni kipindi ukiwa katika makazi yako mapya baada ya kifo.

Fikiria kitu chochote kibaya unachokifanya kwa kujificha kifahamike kwa watu wote.. imagine fedheha unayoweza kupata, unatamani ardhi ipasuke ikumeza, sasa huko hali hiyo itakuwa zaidi na hutakuwa na uwezo wowote wa kujificha.

Katika makazi hayo utachapwa viboko na adhabu zingine uzijuazo kutokana na matendo mbalimbali ya uongo, wizi, usengenyaji n.k pia maumivu yake yatakuwa zaidi ya haya tuyaonayo.

Kwa upande mwingine wale waliotenda mema watapata faraja usiyopimika. Wataishi maisha yenye Neema, furaha na amani.

Kwa wanaume wasiokuwa na dhambi walizofanya duniani watakimbiliwa na maelfu ya wanawake wazuri ili watimiziwe haja zao na itakuwa hivyo kwa wanawake wema pia.

Maisha hayo kwa watenda dhambi yataenda hivyo kwa miaka 1000 then utapewa parole ya kubadilisha utambulisho wako.

Utambulisho wako unaweza kubadilishwa kuwa nyoka, swala au kiumbe mwingine then utazaliwa duniani ambapo mzunguko wa maisha mapya utaanza tena.
 
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.

Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.

Moto imetumika tu kuashiria kiwango cha mateso watakayokutana nayo watu walioishi duniani kwa kutenda dhambi.

Uhalisia upo hivi: baada ya kifo chako utajikuta ukiwa ktk makazi mapya.

Katika makazi hayo maisha yako yote uliyoishi duniani yatakuwa bayana kwa kila mtu aliyepo hapo.

Kimsingi watu wote watakaokuwepo eneo hilo wametoka duniani baada ya kifo.

Kwa kuwa matendo yetu yote tuliyoishi duniani yatakuwa bayana basi tutaona wabaya wetu na wema wetu.

Utapokea maumivu mara dufu ya maovu yako. Yaani kwa mfano kama hapa duniani ulikamatwa ukizini na mke wa mtu, the guilt you feel itakuwa mara dufu zaidi huko kwenye makazi mapya.

Yani fikiria leo hii umekamatwa ukiiba - maumivu, udharirishaji, kipigo utakachopokea itakuwa cha mtoto ukilinganisha ni kipindi ukiwa katika makazi yako mapya baada ya kifo.

Fikiria kitu chochote kibaya unachokifanya kwa kujificha kifahamike kwa watu wote.. imagine fedheha unayoweza kupata, unatamani ardhi ipasuke ikumeza, sasa huko hali hiyo itakuwa zaidi na hutakuwa na uwezo wowote wa kujificha.

Katika makazi hayo utachapwa viboko na adhabu zingine uzijuazo kutokana na matendo mbalimbali ya uongo, wizi, usengenyaji n.k pia maumivu yake yatakuwa zaidi ya haya tuyaonayo.

Kwa upande mwingine wale waliotenda mema watapata faraja usiyopimika. Wataishi maisha yenye Neema, furaha na amani.

Kwa wanaume wasiokuwa na dhambi walizofanya duniani watakimbiliwa na maelfu ya wanawake wazuri ili watimiziwe haja zao na itakuwa hivyo kwa wanawake wema pia.

Maisha hayo kwa watenda dhambi yataenda hivyo kwa miaka 1000 then utapewa parole ya kubadilisha utambulisho wako.

Utambulisho wako unaweza kubadilishwa kuwa nyoka, swala au kiumbe mwingine then utazaliwa duniani ambapo mzunguko wa maisha mapya utaanza tena.
mkuu ulishaenda huko ukashuhudia haya au ndio hadithi za kufikirika?
 
🍵🍵
JamiiForums68569125.jpeg
 
Dah ulivyotunga hadith utazan ubongo uliwekwa kwanza pemben, broo kwahy kama mzinz utapewa wanawake uzini nao au?
 
Hizi ni nadharia tu, kupeana moyo kwa ajili ya yasiyojulikana. End of man is death, baada ya hapo unachanganyikana na udongo kwa ajili ya viumbe wengine waliopo hai.
 
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.

Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.

Moto imetumika tu kuashiria kiwango cha mateso watakayokutana nayo watu walioishi duniani kwa kutenda dhambi.

Uhalisia upo hivi: baada ya kifo chako utajikuta ukiwa ktk makazi mapya.

Katika makazi hayo maisha yako yote uliyoishi duniani yatakuwa bayana kwa kila mtu aliyepo hapo.

Kimsingi watu wote watakaokuwepo eneo hilo wametoka duniani baada ya kifo.

Kwa kuwa matendo yetu yote tuliyoishi duniani yatakuwa bayana basi tutaona wabaya wetu na wema wetu.

Utapokea maumivu mara dufu ya maovu yako. Yaani kwa mfano kama hapa duniani ulikamatwa ukizini na mke wa mtu, the guilt you feel itakuwa mara dufu zaidi huko kwenye makazi mapya.

Yani fikiria leo hii umekamatwa ukiiba - maumivu, udharirishaji, kipigo utakachopokea itakuwa cha mtoto ukilinganisha ni kipindi ukiwa katika makazi yako mapya baada ya kifo.

Fikiria kitu chochote kibaya unachokifanya kwa kujificha kifahamike kwa watu wote.. imagine fedheha unayoweza kupata, unatamani ardhi ipasuke ikumeza, sasa huko hali hiyo itakuwa zaidi na hutakuwa na uwezo wowote wa kujificha.

Katika makazi hayo utachapwa viboko na adhabu zingine uzijuazo kutokana na matendo mbalimbali ya uongo, wizi, usengenyaji n.k pia maumivu yake yatakuwa zaidi ya haya tuyaonayo.

Kwa upande mwingine wale waliotenda mema watapata faraja usiyopimika. Wataishi maisha yenye Neema, furaha na amani.

Kwa wanaume wasiokuwa na dhambi walizofanya duniani watakimbiliwa na maelfu ya wanawake wazuri ili watimiziwe haja zao na itakuwa hivyo kwa wanawake wema pia.

Maisha hayo kwa watenda dhambi yataenda hivyo kwa miaka 1000 then utapewa parole ya kubadilisha utambulisho wako.

Utambulisho wako unaweza kubadilishwa kuwa nyoka, swala au kiumbe mwingine then utazaliwa duniani ambapo mzunguko wa maisha mapya utaanza tena.
Hizi hadithi za madem mbinguni mnatoaga wapi? Kwàhiyo watu watabanjuana na ile miguno ya sita kwa sita tutaisikia huko.Kwahiyo mbinguni tutadindisha na mademu watamwaga Yale maji maji.Acheni hizo, kwa tamaa hizi za ngono mlionazo wahubiri, tutakutana motoni tu hakuna namna.
 
Hizi hadithi za madem mbinguni mnatoaga wapi? Kwàhiyo watu watabanjuana na ile miguno ya sita kwa sita tutaisikia huko.Kwahiyo mbinguni tutadindisha na mademu watamwaga Yale maji maji.Acheni hizo, kwa tamaa hizi za ngono mlionazo wahubiri, tutakutana motoni tu hakuna namna.
Watakaopata fursa hiyo ni wale walioishi maisha mema duniani. Nyie wengine wakosaji mtaishia kwenye mateso na maumivu yasiyokuwa na mwisho hadi hapo utakapopewa utambulisho mpya.
 
MAONO YAKO yasiyo na uthibitisho.. tukiita upotoshaji au uongo tunakosea?
Kwani watu wa awali kuandika hayo unayohisi ni uthibitisho wao waliyatoa wapi? Ni ujinga sana kufikiria source ya information lazima zipatikane somewhere kwenye archives.. badili fikra zako
 
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.

Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.

Moto imetumika tu kuashiria kiwango cha mateso watakayokutana nayo watu walioishi duniani kwa kutenda dhambi.

Uhalisia upo hivi: baada ya kifo chako utajikuta ukiwa ktk makazi mapya.

Katika makazi hayo maisha yako yote uliyoishi duniani yatakuwa bayana kwa kila mtu aliyepo hapo.

Kimsingi watu wote watakaokuwepo eneo hilo wametoka duniani baada ya kifo.

Kwa kuwa matendo yetu yote tuliyoishi duniani yatakuwa bayana basi tutaona wabaya wetu na wema wetu.

Utapokea maumivu mara dufu ya maovu yako. Yaani kwa mfano kama hapa duniani ulikamatwa ukizini na mke wa mtu, the guilt you feel itakuwa mara dufu zaidi huko kwenye makazi mapya.

Yani fikiria leo hii umekamatwa ukiiba - maumivu, udharirishaji, kipigo utakachopokea itakuwa cha mtoto ukilinganisha ni kipindi ukiwa katika makazi yako mapya baada ya kifo.

Fikiria kitu chochote kibaya unachokifanya kwa kujificha kifahamike kwa watu wote.. imagine fedheha unayoweza kupata, unatamani ardhi ipasuke ikumeza, sasa huko hali hiyo itakuwa zaidi na hutakuwa na uwezo wowote wa kujificha.

Katika makazi hayo utachapwa viboko na adhabu zingine uzijuazo kutokana na matendo mbalimbali ya uongo, wizi, usengenyaji n.k pia maumivu yake yatakuwa zaidi ya haya tuyaonayo.

Kwa upande mwingine wale waliotenda mema watapata faraja usiyopimika. Wataishi maisha yenye Neema, furaha na amani.

Kwa wanaume wasiokuwa na dhambi walizofanya duniani watakimbiliwa na maelfu ya wanawake wazuri ili watimiziwe haja zao na itakuwa hivyo kwa wanawake wema pia.

Maisha hayo kwa watenda dhambi yataenda hivyo kwa miaka 1000 then utapewa parole ya kubadilisha utambulisho wako.

Utambulisho wako unaweza kubadilishwa kuwa nyoka, swala au kiumbe mwingine then utazaliwa duniani ambapo mzunguko wa maisha mapya utaanza tena.
hakuna binadamu mkamilifu

Rum 3:23-26 SUV​

kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu; ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake, ili aonyeshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu dhambi zote zilizotangulia kufanywa; apate kuonyesha haki yake wakati huu, ili awe mwenye haki na mwenye kumhesabu haki yeye amwaminiye Yesu.
 
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.

Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.

Moto imetumika tu kuashiria kiwango cha mateso watakayokutana nayo watu walioishi duniani kwa kutenda dhambi.

Uhalisia upo hivi: baada ya kifo chako utajikuta ukiwa ktk makazi mapya.

Katika makazi hayo maisha yako yote uliyoishi duniani yatakuwa bayana kwa kila mtu aliyepo hapo.

Kimsingi watu wote watakaokuwepo eneo hilo wametoka duniani baada ya kifo.

Kwa kuwa matendo yetu yote tuliyoishi duniani yatakuwa bayana basi tutaona wabaya wetu na wema wetu.

Utapokea maumivu mara dufu ya maovu yako. Yaani kwa mfano kama hapa duniani ulikamatwa ukizini na mke wa mtu, the guilt you feel itakuwa mara dufu zaidi huko kwenye makazi mapya.

Yani fikiria leo hii umekamatwa ukiiba - maumivu, udharirishaji, kipigo utakachopokea itakuwa cha mtoto ukilinganisha ni kipindi ukiwa katika makazi yako mapya baada ya kifo.

Fikiria kitu chochote kibaya unachokifanya kwa kujificha kifahamike kwa watu wote.. imagine fedheha unayoweza kupata, unatamani ardhi ipasuke ikumeza, sasa huko hali hiyo itakuwa zaidi na hutakuwa na uwezo wowote wa kujificha.

Katika makazi hayo utachapwa viboko na adhabu zingine uzijuazo kutokana na matendo mbalimbali ya uongo, wizi, usengenyaji n.k pia maumivu yake yatakuwa zaidi ya haya tuyaonayo.

Kwa upande mwingine wale waliotenda mema watapata faraja usiyopimika. Wataishi maisha yenye Neema, furaha na amani.

Kwa wanaume wasiokuwa na dhambi walizofanya duniani watakimbiliwa na maelfu ya wanawake wazuri ili watimiziwe haja zao na itakuwa hivyo kwa wanawake wema pia.

Maisha hayo kwa watenda dhambi yataenda hivyo kwa miaka 1000 then utapewa parole ya kubadilisha utambulisho wako.

Utambulisho wako unaweza kubadilishwa kuwa nyoka, swala au kiumbe mwingine then utazaliwa duniani ambapo mzunguko wa maisha mapya utaanza tena.
Hivi vitisho vililenga tu watu wawe waadilifu kwenye jamii, lakini haijawahi saidia
Watu wanatakiwa kufudishwa upendo tu, siyo vitisho na ahadi kemkem za huko ahera ambazo kiuhalisia hazipo
 
Kwani watu wa awali kuandika hayo unayohisi ni uthibitisho wao waliyatoa wapi? Ni ujinga sana kufikiria source ya information lazima zipatikane somewhere kwenye archives.. badili fikra zako
Basi sawa endelea kupotosha mkuu, isiwe kesi
 
Baada ya kifo cha binadamu tumeelezwa kutakuwa na machaguo mawili kwenda kwenye uzima au moto wa milele.

Moto unaozungumziwa hapo kwa wadhambi siyo huu tuuonao wenye nishati ya joto kali.

Moto imetumika tu kuashiria kiwango cha mateso watakayokutana nayo watu walioishi duniani kwa kutenda dhambi.

Uhalisia upo hivi: baada ya kifo chako utajikuta ukiwa ktk makazi mapya.

Katika makazi hayo maisha yako yote uliyoishi duniani yatakuwa bayana kwa kila mtu aliyepo hapo.

Kimsingi watu wote watakaokuwepo eneo hilo wametoka duniani baada ya kifo.

Kwa kuwa matendo yetu yote tuliyoishi duniani yatakuwa bayana basi tutaona wabaya wetu na wema wetu.

Utapokea maumivu mara dufu ya maovu yako. Yaani kwa mfano kama hapa duniani ulikamatwa ukizini na mke wa mtu, the guilt you feel itakuwa mara dufu zaidi huko kwenye makazi mapya.

Yani fikiria leo hii umekamatwa ukiiba - maumivu, udharirishaji, kipigo utakachopokea itakuwa cha mtoto ukilinganisha ni kipindi ukiwa katika makazi yako mapya baada ya kifo.

Fikiria kitu chochote kibaya unachokifanya kwa kujificha kifahamike kwa watu wote.. imagine fedheha unayoweza kupata, unatamani ardhi ipasuke ikumeza, sasa huko hali hiyo itakuwa zaidi na hutakuwa na uwezo wowote wa kujificha.

Katika makazi hayo utachapwa viboko na adhabu zingine uzijuazo kutokana na matendo mbalimbali ya uongo, wizi, usengenyaji n.k pia maumivu yake yatakuwa zaidi ya haya tuyaonayo.

Kwa upande mwingine wale waliotenda mema watapata faraja usiyopimika. Wataishi maisha yenye Neema, furaha na amani.

Kwa wanaume wasiokuwa na dhambi walizofanya duniani watakimbiliwa na maelfu ya wanawake wazuri ili watimiziwe haja zao na itakuwa hivyo kwa wanawake wema pia.

Maisha hayo kwa watenda dhambi yataenda hivyo kwa miaka 1000 then utapewa parole ya kubadilisha utambulisho wako.

Utambulisho wako unaweza kubadilishwa kuwa nyoka, swala au kiumbe mwingine then utazaliwa duniani ambapo mzunguko wa maisha mapya utaanza tena.
Unaweza thibitisha mambo haya!?
 
Back
Top Bottom