PreGE2025 Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu

PreGE2025 Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar majira ya saa 9 alfajiri alipowasili nchini kufuatilia kesi ya Tundu Lissu, Jaji Mkuu mwingine mstaafu wa nchi hiyo David Maraga, amefanikiwa kutinga Kisutu.

Screenshot 2025-05-19 103200.png

Pia soma Pre GE2025 - DSM - Kesi ya Lissu: Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga ashikiliwa uwanja wa Nyerere. Polisi waonekana Kisutu
Hawa watu sijui wanawaza nini. Wameamua kumpa Tundu Lissu umaarufu over night!!! Sasa kesi hii inafahamika nje ya mipaka yetu. Sasa Lissu anazidi kujulikana zaidi na no reforms no election inavuka mipaka ya taifa letu.

Kilikuwa na sababu ya yote haya? Kilikuwa na sababu gani ya kumkamata na kumpaisha Lissu kwa kiwango hiki? Kuna sababu Gani ya kuendelea kumshukilia?

Ni kweli kumuachia kwa kuifiluta kesi hii itawachora mno waliomkamata Lakini kuendelea kumshukilia (ambako lazima TU watamuachilia baadaye) ni kuendelea kuharibi zaidi kitaifa na kimataifa. Lissu aachiliwe TU aendelee na siasa sake na reforms zifanyike, uchaguzi uwe huru na aliyepangiwa na Mungu kushinda ashinde kwa haki.

Kama Lissu alipangiwa kuwa rais wa nchi hii hakuna wa kuweza kuzuia hilo. Kama hakupangiwa hawezi Kuja kuwa Rais wetu. Tuache haya tunayofanya sasa kwa sababu yanaharibu zaidi kuliko kujenga
1. Ikiwa Watanzania tuliwasaidia watu wa ANC ili waende kupindua Utawala wa kidhalimu na usiotenda Haki wa Makaburu kule nchini Afrika Kusini.

2. Ikiwa Watanzania pia tuliwasaidia watu wa ZANU ili waende kupindua Utawala wa kidhalimu na usiotenda Haki wa Wazungu (Waingereza) kule nchini Zimbabwe.

3. Aidha, ikiwa Watanzania vile vile pia tuliwasaidia watu wa FRELIMO ili waende kupindua Utawala wa kidhalimu na usiotenda Haki wa Wareno kule nchini Msumbiji.

Je, ni kwa nini basi majirani zetu wa Kenya au Uganda nao wasiwe na Haki ya kuwasaidia Wananchi wa Tanzania ili waweze kuondokana na Utawala dhalimu na usiitenda Haki wa CCM hapa nchini sawa sawa kabisa na vile ambavyo waTanzania walifanya kwa majirani zao wa Afrika Kusini, Zimbabwe na Msumbiji?

Remember:

"Injustice somewhere is a threat of justice everywhere."
By Martin Luther King Jr.

HAKI haina mipaka, wala Haki haijali mipaka ya nchi.

Good for the Jews is good for the gunners, and bad for the Jews is also bad for the gunners!
 
Hawa watu sijui wanawaza nini. Wameamua kumpa Tundu Lissu umaarufu over night!!! Sasa kesi hii inafahamika nje ya mipaka yetu. Sasa Lissu anazidi kujulikana zaidi na no reforms no election inavuka mipaka ya taifa letu.

Kilikuwa na sababu ya yote haya? Kilikuwa na sababu gani ya kumkamata na kumpaisha Lissu kwa kiwango hiki? Kuna sababu Gani ya kuendelea kumshukilia?

Ni kweli kumuachia kwa kuifiluta kesi hii itawachora mno waliomkamata Lakini kuendelea kumshukilia (ambako lazima TU watamuachilia baadaye) ni kuendelea kuharibi zaidi kitaifa na kimataifa. Lissu aachiliwe TU aendelee na siasa sake na reforms zifanyike, uchaguzi uwe huru na aliyepangiwa na Mungu kushinda ashinde kwa haki.

Kama Lissu alipangiwa kuwa rais wa nchi hii hakuna wa kuweza kuzuia hilo. Kama hakupangiwa hawezi Kuja kuwa Rais wetu. Tuache haya tunayofanya sasa kwa sababu yanaharibu zaidi kuliko kujenga
 
Hawa watu sijui wanawaza nini. Wameamua kumpanTundu Lissu umaarufu over night!!! Sasa kesi hii inafahamika nje ya mipaka yetu. Sasa Lissu anazidi kujulikana said na no election no reform inavuka mipaka ya taifa letu. Kilikuwa na sababu ya yote haya? Kilikuwa na sababu gani ya kumkamata na kumpaisha Lissu kwa kiwango hiki? Kuna sababu Gani ya kuendelea kumshukilia?
Ni kweli kumuachia kwa kuifiluta kesi hii itawachora mno waliomkamata Lakini kuendelea kumshukilia (ambako lazima TU watamuachilia baadaye) ni kuendelea kuharibi zaidi kitaifa na kimataifa. Lissu aachiliwe TU aendelee na siasa sake na nreforms zifanyike, uchaguzi uwe huru na aliyepangiwa na Mungu kushinda ashinde kwa haki. Km Lissu alipangiwa kuwa rais wa nchi hii hakuna wa kuweza kuzuia hilo. Km hakupangiwa hawezi Kuja kuwa rais wetu. Tuache haya tunayofanya sasa kwa sbb yanaharibu zaidi kuliko kujenga
Kuna pattern naiona, vyombo vinatumia nguvu kupitiliza halaf wakigundua wameyakanyaga ndio wanarudi nyuma, either wamtafute mtu wa kubebesha lawama. Au wakae kimya

Hii pattern haijaanza leo
 
Yule bibi kizee martha karua kufukuzwa kama mbwa koko.
Wasituletee za kuleta wapeleke fujo zao hukohuko kenya suo Tz.
 
Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar majira ya saa 9 alfajiri alipowasili nchini kufuatilia kesi ya Tundu Lissu, Jaji Mkuu mwingine mstaafu wa nchi hiyo David Maraga, amefanikiwa kutinga Kisutu.

View attachment 3338717
Pia soma Pre GE2025 - DSM - Kesi ya Lissu: Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga ashikiliwa uwanja wa Nyerere. Polisi waonekana Kisutu
Sasa mmehama kutoka kwa wazungu mnawalilia wa Kenya, kweli imeishiwa sana hawa waliochinjana kila mwaka.
 
Hawa watu sijui wanawaza nini. Wameamua kumpanTundu Lissu umaarufu over night!!! Sasa kesi hii inafahamika nje ya mipaka yetu. Sasa Lissu anazidi kujulikana said na no election no reform inavuka mipaka ya taifa letu. Kilikuwa na sababu ya yote haya? Kilikuwa na sababu gani ya kumkamata na kumpaisha Lissu kwa kiwango hiki? Kuna sababu Gani ya kuendelea kumshukilia?
Tazama elimu ya hao wanao engineer hilo jambo, wengi wao ni failures
 
Back
Top Bottom