Unaacha kupatana na maaskofu TZ uliowaumiza na kuwakejeli unaenda kwa Papa? Ukichaa huu. Papa mwenyewe anategemea report kutoka kwa akina pisa na rugambwa siyo kabudi na kombo
Labda wanaamini wao wameitangulia ripoti ya TEC. Na kwamba Papa hajui chochote hivyo ni rahisi kumrubuniUnaacha kupatana na maaskofu TZ uliowaumiza na kuwakejeli unaenda kwa Papa? Ukichaa huu. Papa mwenyewe anategemea report kutoka kwa akina pisa na rugambwa siyo kabudi na kombo
Sidhani kama wanaamini Mungu. Labda muda wa Roho kunyofokakwa akili zao finyu wameenda kwa pope ili awaombee msamaha kwa Mungu kwa zile damu walizomwaga October.
Africa Africa Africa