Baada ya Dr Slaa na Katambi nani anafuata?

Baada ya Dr Slaa na Katambi nani anafuata?

Nan wa kumpokonya... Mashinji ama? Angalia mtu aliye ngangali... Yeye akiporwa basi ataendelea na ubunge wake... Ila kuna vijana nna imani nao sana ila inaonesha wana njaa mnoo
1.yeriko nyerere
2.malisa
N. K wakumbukwe hawa
Ha ha haa hapo kwenye "njaa" mwisho utawaita ni Makarai.
 
Masikini chadema jini wamelipokea wenyewe sasa linaanza kuwazuru bila wao kujua ifikapo anafata SUMAYE wa mwisho kabisa LOWASA ndio kitakuwa kifo cha chadema
 
Huyu jamaa yuko imara sana na ngangali.... Hakuna mwenyekiti jasiri kama huyu kuwahi tokea tz.... Amejitahidi sana kuimarisha chama na chama kinakua... Chadema wakijiroga wamtoe huyu waweke ujinga mwingine.... Nnao waamini
1.lisu
2.lema
Labda ndio wapewe baada ya mbowe..
Mbowe chini akisaidiwa na busara za katibu mkuu wake Dr. Slaa alikuwa mwenye busara sana na mikakati.

Siwaoni Lema na Lissu wakimfikia Mbowe wa enzi hizo busara zake. Hao uliowataja ni watu wa jaziba na mihemko.
Lissu anadharau na maneno makali sana ambayo akiwa mwenyekiti au katibu mkuu anaweza kuleta mtafaruku.
Mawazo yangu tu naweza kuwa sipo sahihi.
 
Mimi nawaza tu sijui Lissu akisema anahamia CCM itakuwaje...noumaaaa
IMG-20171122-WA0001.jpg
 
SIASA ZA NDANI: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini katika miaka ya 2010-2015, David Kafulila amejivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Adai kutokuwa na imani tena na upinzani katika kupambana na ufisadi.

Kwa muendelezo huu wa kuingia na kutoka kwa wanasiasa katika vyama vyao, nini mtazamo wako kwa mustakabali wa siasa nchini?
 
SIASA ZA NDANI: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini katika miaka ya 2010-2015, David Kafulila amejivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Adai kutokuwa na imani tena na upinzani katika kupambana na ufisadi.

Kwa muendelezo huu wa kuingia na kutoka kwa wanasiasa katika vyama vyao, nini mtazamo wako kwa mustakabali wa siasa nchini?
Naendelea na hoja, nani anafuta?
 
Daah kweli pande za cdm hakupo shwari, nani kufuata?
Screenshot_20171122-193716.jpg
 
Back
Top Bottom