njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,374
- 985
Naongelea watu wenye mavyeo makubwa sio dagaa.
Dr Slaa alikuwa Katibu bora kuwahi kutokea pande hizo, na Katambi Mwenyekiti wa BAVICHA kijana msomi mwenye akili inayochemka. Hawa wote walikuwa waendesha chama kwa kupanga mikakati mbalimbali, sio wa kuwabeza hata kidogo.
Ninaongeza mashaka huenda mambo yasiposawazishwa kuna mwendelezo wa wanaoondoka hasa wenye mavyeo yao.
Nahisi hata Mwenyekiti Taifa ataachia ngazi ni suala la muda tu.
Wewe unahisi anayefuata nani mwenye li cheo likubwa ndani ya chama?
Dr Slaa alikuwa Katibu bora kuwahi kutokea pande hizo, na Katambi Mwenyekiti wa BAVICHA kijana msomi mwenye akili inayochemka. Hawa wote walikuwa waendesha chama kwa kupanga mikakati mbalimbali, sio wa kuwabeza hata kidogo.
Ninaongeza mashaka huenda mambo yasiposawazishwa kuna mwendelezo wa wanaoondoka hasa wenye mavyeo yao.
Nahisi hata Mwenyekiti Taifa ataachia ngazi ni suala la muda tu.
Wewe unahisi anayefuata nani mwenye li cheo likubwa ndani ya chama?