Huu ni upungufu au ukosefu dhahiri wa akili, wanataka kutuambia yale waliyokuwa wanachangia bungeni wabunge wao sio maagizo ya chama chao? anyway kwanza walikuwa busy kuwapiga vijembe cdm hata hawakuchangia muswada, sasa wanaona aibu kupita mitaani ndio wanajidai nao kuunda kamati kumuona rais. sasa wote wanatumia masaburi, nani ataongea na nani kuwa msikilizaji? mwee this party is funny....!
....when your leaders are dead upstairs, you will find yourselves on graveyards....