mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 916
Chama cha mapinduzi kimemaliza mchakato wake wa kuteua wagombea wa nafasi zote za uwakili na ubunge walikatana sana japo wengine waligoma kukatwa wakahama vyaka na wengine wakashindwa kura za maoni na kuhama chama.
Hali kama hiyo imehamia kwa vyama vya chadema na cuf nao sasa wanakatana kama ilivyokuwa kwa ccm wapo wanaokatwa lakini wanagoma kukatwa na badala yake wanahama vyama na timbwili kwa sana tu.
ccm wao yao yashakwisha na kuwekana sawa sasa zamu yenu chadema na cuf kukatana sisi tunawaangalia mtafikishana wapi manake kiongozi wenu mkuu na mgombea urais ni mwathirika wa kukatwa na kuhama chama vipi wabunge wake watakubali kukatwa na kutulia?
Hali kama hiyo imehamia kwa vyama vya chadema na cuf nao sasa wanakatana kama ilivyokuwa kwa ccm wapo wanaokatwa lakini wanagoma kukatwa na badala yake wanahama vyama na timbwili kwa sana tu.
ccm wao yao yashakwisha na kuwekana sawa sasa zamu yenu chadema na cuf kukatana sisi tunawaangalia mtafikishana wapi manake kiongozi wenu mkuu na mgombea urais ni mwathirika wa kukatwa na kuhama chama vipi wabunge wake watakubali kukatwa na kutulia?