Baada Jokate kuingia rasmi UVCCM , Brand ya KIDOTI yaanza kupuuzwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,653
218,142
Siku zote tumefundishwa kuambatana na upande utendao haki , ukipuuza umekwisha !

Taarifa nilizozipata ni kwamba Kitendo cha Jokate kujiingiza kwenye siasa za ccm , chama ambacho kinachukiwa na vijana wengi sana wa Tanzania , bidhaa zake zimeanza kudoda .

Ikumbukwe kwamba dada huyu hujishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo biashara ya rasta , mtindo unapendwa zaidi na wasichana wa kisasa .

Nikajiuliza huyu dada ni kitu gani kimemfanya aharibu Brand yake haraka hivi kwa kujiegemeza kwenye chama kisichotakiwa , amerogwa na nani ?

Majuto ni mjukuu .
 
Siku zote tumefundishwa kuambatana na upande utendao haki , ukipuuza umekwisha !

Taarifa nilizozipata ni kwamba Kitendo cha Jokate kujiingiza kwenye siasa za ccm , chama ambacho kinachukiwa na vijana wengi sana wa Tanzania , bidhaa zake zimeanza kudoda .

Ikumbukwe kwamba dada huyu hujishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo biashara ya rasta , mtindo unapendwa zaidi na wasichana wa kisasa .

Nikajiuliza huyu dada ni kitu gani kimemfanya aharibu Brand yake haraka hivi kwa kujiegemeza kwenye chama kisichotakiwa , amerogwa na nani ?

Majuto ni mjukuu .
biashara zake zilikua zimesha doda mda mrefu sana hiyo offer aliyopewa na CCM ni kama maji jangwani
 
Ma bavicha wanawaonea wivu wenzao wa uvccm kuchukua kifaa ambacho hakijatumika sana kulinganisha na kile walicho kuchukua wao juzi ambacho kilikuwa kimeshatupwa!
Badala ya kujifariji hapa mpeni pole mwenzenu .
 
Acha wivu kijana, fanya kazi siasa sio uhasama.....Huyo dada kwa elimu yake na ushawishi wake naamini muda sio mrefu atakwaa nafasi kubwa zaidi ndani ya chama ama serikalini.

Hongera Jokate siasa sio mkumbo bali malengo yako ya baadaye.....
 
Acha wivu kijana, fanya kazi siasa sio uhasama.....Huyo dada kwa elimu yake na ushawishi wake naamini muda sio mrefu atakwaa nafasi kubwa zaidi ndani ya chama ama serikalini.

Hongera Jokate siasa sio mkumbo bali malengo yako ya baadaye.....
Kwa mfano , mimi binafsi kwa kipato cha biashara yangu hakuna nafasi ya kisiasa inayoweza kufikia , labda Urais , sasa ndio namshangaa huyu dada mfanyabiashara mwenzangu kujiunga na chama kinachochukiwa na kila mwananchi.

Kwamba Huyu atakuwa na cheo kikubwa kuliko Nape ? Labda achukue nafasi ya Kinana .
 
mkuu hizi ni propaganda,

unaweza kutuwekea alikua anapokea shilingi ngapi na sasa anapokea shilingi ngapi,

yaani hata siku hazijapita tayari mshaanza kumpakaza dada wa watu,

Jokate kaza buti mwaya,

wasiponunua,wana CCM wenzio watanunua,lol
 
mkuu hizi ni propaganda,

unaweza kutuwekea alikua anapokea shilingi ngapi na sasa anapokea shilingi ngapi,

yaani hata siku hazijapita tayari mshaanza kumpakaza dada wa watu,

Jokate kaza buti mwaya,

wasiponunua,wana CCM wenzio watanunua,lol
Kuharibu brand ni sekunde tu , hivi nani hajui ubaya wa ccm nchi hii ? Sasa unapoamua kujiambatanisha nayo unategemea nini ?
 
Siku zote tumefundishwa kuambatana na upande utendao haki , ukipuuza umekwisha !

Taarifa nilizozipata ni kwamba Kitendo cha Jokate kujiingiza kwenye siasa za ccm , chama ambacho kinachukiwa na vijana wengi sana wa Tanzania , bidhaa zake zimeanza kudoda .

Ikumbukwe kwamba dada huyu hujishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo biashara ya rasta , mtindo unapendwa zaidi na wasichana wa kisasa .

Nikajiuliza huyu dada ni kitu gani kimemfanya aharibu Brand yake haraka hivi kwa kujiegemeza kwenye chama kisichotakiwa , amerogwa na nani ?

Majuto ni mjukuu .
Mtoa post mzima kweli? Nilitaji ungekuja na data za kupuuzwa huko. Mfano; alikuwa anaingiza sh. ngapi kabla. Sasa hali ikoje! Hapo ningeeleewa

By the way, mliisusia pia Vodacom. Takwimu zako zimekaaje? Mliacha kutumia?

Vijana mna roho ya chuki! Sijui hata kama mkila huwa mnashiba. Sijui hata usingizi kama mnapata!
 
Back
Top Bottom