Baa za Tabata na maeneo yake ya kula bata

Daah kweli wewe ni mkongwe wa Tabata
 
Hujaitaja Nderingo ipo Sanene hapo ni full toto'z
 
Hujaitaja Nderingo ipo Sanene hapo ni full toto'z
Nderingo kuanzia kaunta wahudumu meneja (kina asenga na Babu juma) mpaka wateja ni wazee hakuna totoz never! Uzuri wa nderingo haivumi na haifi Ila supu ni 24/7 tena yenye ubora wa hali ya Juu! Leo Niko Kimara Korogwe (white house baa kongwe zaidi ukanda huu ukiuacha Ruaha galaxy- hapa ni mdudu wa kuchoma huwezi pata huu popote!
Labda safari bar ya Mbezi mwisho! Safari resort sijawahi kuingia
 
Nderingo aka Peace of Mind pale hapatajwi sana kwa sababu ni kwa wazee. Wazee wastaafu na wanaokaribia kustaafu. Ndio maana ukiangalia hata parking yake utakuta ni Prado, Hilux, Rav4 Old, hakuna alteza wala subaru.
 
Leo pembeni ya Kaites Kuna Uzinduzi mkubwa Nyama choma ni free kazi yako ni kukata mayi mana nguvu ya mamba kumayi! Ni FEDO PUB! Jamhuri ya Tabata sio paziri! Ukifika KWETU PAZURI YA ZAMANI MBELE KIDOGO KISHOTO UTAONA MAPAMBO YA KRISMASS NA RED KAPET! Picha hakuna! Mimi sio cameraman
 
Niko hapa now mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…