Baa ya The Cask yafunguliwa



Hii ni katika Shamra shamra za nguvu zilizoandaliwa wiki hii , hasa baada ya Baa hiyo kufungiwa kwa matatizo ya leseni na baadaye kufunguliwa na Mkurugenzi

Wote mnakaribishwa .
 
Nitakuwepo hapo this Friday..

Kuna dada na bleach nitapenda anihudumie kama kawaida..
 
Nitakuja na firimbi,Dj weka wimbo wa Roma Bandari. Nasemajee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…