Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,339
- 7,546
Same here. Niko hapohapo. Tunafanyaje sasa?Niko makao makuu mema ya nchi.
Nakuchangamsha na nini mpwa?
Same here. Niko hapohapo. Tunafanyaje sasa?Niko makao makuu mema ya nchi.
Nakuchangamsha na nini mpwa?
unakutana na watubsaa 5 wanatoka bar wanajua ni saa kumi kumbe kushakucha na makucha yake 😂😂 kile kiwanja jau sanaAcha tu
C Park Matema na Ben, ilikuwa unavuka tu barabara.
Tukitoka hapo tunakutana PapiChulo.
Hv unakumbuka Ben Pub na ule mlango wa tinted?
Unajua bado hakujakucha, ukifungua mlango tu, saa 4 asubuhi ... nachoka hoi🥴😙😙
Enzi hizo mzee yuko hai nimekulia hapo mtaa wa Nkrumah karibia na roundabout ya mnara wa saa nimesomea primary hapo kidongo che kundu ile shule zamani ikiitwa kisarawe primary baadae ikawa sekondar dar es salaam sekondari, but since mzee alipofariki mambo yote Yakaparanganika yalikuja kukaa sawa tulipokuja kuwa wakubwa na kuwa na Mishe zetu, but kipindi mile nakua maeneo yangu ya kuzurura kuanzia posta kula samaki jioni naenda kuangalia mazoezi ya yanga usiku tunaenda cinema hapohapo mtaani kwetu nkrumah au beach tunaenda na watoto wa kihindi but mzee alipofariki ndipo nilipojua kwamba kuna shida duniani na ndugu ni mbwa sio ndugu.Pole sana mkuu.
Mie kwanza mbu anagusaje na niko high na nimechachuka na pombe.
Dah!
We utakuwa wa kishua...mbu mmoja unaatuka usingizini?
Sasa ukienda selo au mahabusu itakuwaje?🤔
🤭🤭🤭Same here. Niko hapohapo. Tunafanyaje sasa?
Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.
Acha mkuu.unakutana na watubsaa 5 wanatoka bar wanajua ni saa kumi kumbe kushakucha na makucha yake 😂😂 kile kiwanja jau sana
Yes mpenzi.Siingizi ndani hata siku moja. Ni nje tu.
Pole sana.Enzi hizo mzee yuko hai nimekulia hapo mtaa wa Nkrumah karibia na roundabout ya mnara wa saa nimesomea primary hapo kidongo che kundu ile shule zamani ikiitwa kisarawe primary baadae ikawa sekondar dar es salaam sekondari, but since mzee alipofariki mambo yote Yakima Tanganyika yalikuja kukaa sawa tulipokuja kuwa wakubwa na kuwa na Mishe zetu, but kipindi mile nakua maeneo yangu ya kuzurura kuanzia posta kula samaki jioni naenda kuangalia mazoezi ya yanga usiku tunaenda cinema hapohapo mtaani kwetu nkrumah au beach tunaenda na watoto wa kihindi but mzee alipofariki ndipo nilipojua kwamba kuna shida duniani na ndugu ni mbwa sio ndugu.
Madam b sasa hivi muda mwingi Niko kahama ndanindani nasimamia kazi zangu.Pole sana.
Nikija Dar nitakutafuta nikupe kumbatio.
Ila mie silalagi na neti ujue....🥴
😄😄😄Madam b sasa hivi muda mwingi Niko kahama ndanindani nasimamia kazi zangu.
Aende Nachingwea huko kuna mganga anatibu hilo tatizo hata kama umerogwaNimemuacha Dar, mie niko zangu Dom, ila wananiambia bado anahangaika na tatizo lake.
Unajua mpaka tunamuonea huruma.
Sema ndio hivo ana imani amerogwa.
Nilimwambia akapime kansa ya kizazi, sijui kama alienda
Nipo nawapambania wanangu nao waje waonje maisha kama aliyotupa mshua, pia Nina ndoto ya kumiliki nyumba eidha upanga, kariakoo au gerezani nilipokuliaPole sana.
Nikija Dar nitakutafuta nikupe kumbatio.
Ila mie silalagi na neti ujue....🥴
Nipe connection mimpeAende Nachingwea huko kuna mganga anatibu hilo tatizo hata kama umerogwa
Norway alitoka 2019, muyajenge tu wakuu yanazungumzika haya!!🤭🤭🤭
Nakusikiliza.....😄😄😄😄
Si umesema uko Norway jamani....
Ssfi 👏👏Nipo nawapambania wanangu nao waje waonje maisha kama aliyotupa mshua, pia Nina ndoto ya kumiliki nyumba eidha upanga, kariakoo au gerezani nilipokulia
Waooooo.....!!!!Norway alitoka 2019, muyajenge tu wakuu yanazungumzika haya!!
On a serous note nimependa sana ulivyonyooka kwenye maelezo. Ni wanawake wachache sana wana ushujaa kama wako
Hivi Ile Ben ya Dodoma ni branch,,tatizo Ben ya Dodoma mashoga wameitekaBen Pub sema wahuni wakaja kuifanya ionekane ya kihuni.
Ila ilikuwa poa sana ile.
Unatoka nje unakutana na wanafunzi wanarudi shule....nyieeee!!!!!
Msi mtupe msaada upo ni suala la muda tuu atapata suluhisho.Ni wa kawaida.
Kazaliwa 95.
Ila anateseka kiukweli.
Mimi ni rafiki yake ndio naujua uchungu wake
Ben ya Dodoma bado sijaijua.Hivi Ile Ben ya Dodoma ni branch,,tatizo Ben ya Dodoma mashoga wameiteka