B.O.T haina reserve ya Gold na Tanzanite

B.O.T haina reserve ya Gold na Tanzanite

IFRS

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
2,920
Reaction score
5,267
Leo hapa JF kumekuwa na mijadala mingi kuhusu kushuka kwa thamani ya TZS kwa dola(depreciation of Tanzania shilings against US dollar).

Kabla sijachangia niliamua kugoogle latest published audited financial statements za BOT nikakuta ya May 2014. Lakini cha ajabu kwenye financial position hakuna gold wala tanzanite ambazo sisi watanzania tunazo kwenye ardhi yetu.

Maana Mimi naamini moja ya fastest stabilisation ya home current(Tz) ni BOT intervention in a currency market na nyingine ni kuuza gold outside ili kupata dollar kwa haraka sana maana gold ni pesa.

Sasa swali langu ni kweli BOT haina gold reserve au macho yangu yameshindwa kuona.
 
nyie ndio mliosoma Finance na Economy fake!

Kupanda kwa dollar INA indicate mahitaji(demand) ya dollar ni makubwa kuliko dollar zilizopo sokoni.sasa ni jukumu la BOT kuingia sokoni na kuuza dollar kwa bei ndogo kuliko market value ili kustabilize bei.sasa kama BOT mpaka sasa haijaingia sokoni means hawana reserve ya dollar ya kutosha maana wenzao wa Kenya na Uganda wameshaingia.sasa alternative ya haraka kupata dollar ni IPI?
 
....alternativ ilikuwa iwe na reserv ya gold ili iuze ipate dollar za kuingiza n mzunguko
 
Leo hapa JF kumekuwa na mijadala mingi kuhusu kushuka kwa thamani ya TZS kwa dola(depreciation of Tanzania shilings against US dollar).

Kabla sijachangia niliamua kugoogle latest published audited financial statements za BOT nikakuta ya May 2014. Lakini cha ajabu kwenye financial position hakuna gold wala tanzanite ambazo sisi watanzania tunazo kwenye ardhi yetu.

Maana Mimi naamini moja ya fastest stabilisation ya home current(Tz) ni BOT intervention in a currency market na nyingine ni kuuza gold outside ili kupata dollar kwa haraka sana maana gold ni pesa.

Sasa swali langu ni kweli BOT haina gold reserve au macho yangu yameshindwa kuona.
Sababu kuu ya TZS kuwa dhaifu mbele ya USD ni kuadimika kwa USD (ama mahitaji ya USD kuwa makubwa, angali ni chache). Vyanzo vikuu vitatu vya USD (kama fedha za kigeni) kwa Tanzania ni Misaada ya Kihisani (Donor's Aid), Mauzo ya dhahabu, na Utalii. Kati ya vyanzo hivyo vikuu, kimoja tu (utalii) ndio kinafanya vizuri.

Wahisani wamesitisha (ama kupunguza) misaada kutokana na sababu mbali-mbali (ikiwemo rushwa ilokithiri, mf. TGT Escrow scandal). Hii ina maana kwamba mapokezi ya USD yamepungua kwa kiasi kikubwa hasa kwenye zile akauti za misaada. ungekuwa unafanya kazi benki zinazotunza akaunti za namna hiyo ungeliona dhahiri.

Bei ya dhahabu imekuwa ikiporomoka sana kwa kipindi cha robo ya mwisho ya mwaka 2014 na mwanzoni mwa 2015, ila kwa sasa imeanza kuimarika. Inamaanisha kiasi ya USD zilizoingia kutokana na mauzo ya dhahabu zilipungua.

attachment.php

source: NASDAQ (soko la hisa la pili kwa ukubwa duniani)

Utalii umeendelea kuimarika, na hii inatokana na hali ya usalama nchini Kenya kudorora.
Kwa hiyo sasa tunaona uhaba wa USD kwenye hifadhi ya fedha za kigeni kupungua na kusababisha uhaba kwenye soko.
 
Leo hapa JF kumekuwa na mijadala mingi kuhusu kushuka kwa thamani ya TZS kwa dola(depreciation of Tanzania shilings against US dollar).

Kabla sijachangia niliamua kugoogle latest published audited financial statements za BOT nikakuta ya May 2014. Lakini cha ajabu kwenye financial position hakuna gold wala tanzanite ambazo sisi watanzania tunazo kwenye ardhi yetu.

Maana Mimi naamini moja ya fastest stabilisation ya home current(Tz) ni BOT intervention in a currency market na nyingine ni kuuza gold outside ili kupata dollar kwa haraka sana maana gold ni pesa.

Sasa swali langu ni kweli BOT haina gold reserve au macho yangu yameshindwa kuona.
Think tank
 
Kupanda kwa dollar INA indicate mahitaji(demand) ya dollar ni makubwa kuliko dollar zilizopo sokoni.sasa ni jukumu la BOT kuingia sokoni na kuuza dollar kwa bei ndogo kuliko market value ili kustabilize bei.sasa kama BOT mpaka sasa haijaingia sokoni means hawana reserve ya dollar ya kutosha maana wenzao wa Kenya na Uganda wameshaingia.sasa alternative ya haraka kupata dollar ni IPI?
BoT kuuza dhahabu nje kwa dollars ni sawa na export ya bidhaa nyingine tu kama wanazouza nje watu au kampani binafsi, BoT itapata dollars kadri au kulingana na wingi wa mauzo ya hizo dhahabu nje, hakuna muujiza wowote.
 
Wameshtuka usingizini huko Geita wameeanza kununua
 
Back
Top Bottom