Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,503
- 7,107
Tajiri mkubwa duniani alikuwa katika mazungumzo ya kuzungumza kuhusu mpango wa kupunguza idadi ya waafrika. Maana kuna matatizo ya idadi ya waafrika wanaoamia nchi za Ulaya kwa ajili ya kupata makazi na ubora wa maisha, kwa iyo watakuja na mpango unaoitwa New world order, ili kuinusuru ulaya na matatizo ya waamiaji wengi uko ulaya.
https://www.quora.com/What-does-Bil...s-healthcare-and-reproductive-health-services
Mpango wa kuwapunguza Africa Mara 4 ya idadi iliyopo kama 1.1 billion mpaka kama 300 million miaka ya baadae
https://www.quora.com/What-does-Bil...s-healthcare-and-reproductive-health-services
Mpango wa kuwapunguza Africa Mara 4 ya idadi iliyopo kama 1.1 billion mpaka kama 300 million miaka ya baadae