ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
what is sociology?!!! sometimes mnaposoma muwe mnasoma alama za nyakati. kama huna mtaji wa kujiajiri bora usome sayansi au masomo yanayokimbiwa na wengi ambayo ajira yake si ngumu kupata.....kukwepa hesabu+science subjects kutakugharimu.
kila mtu akisoma hesabu au science unadhani who will maintain the existence of society? bila sociology hakuna maisha nakuambia, nenda kwenye nyanja zote za jamii kisiasa, kiutamaduni, kijamii na kiuchumi kabla hujawaza hata nini usome sociology ndo imekupa hiyo consciousness, elewa pia riziki hupanga Mungu, hata hao waliosoma science si wote wana kazi au maisha mazuri, unapoamua kushauri basi shauri kweli na usimkatishe mwenzio tamaa, sasa ameshakua sociologist so arudi kusoma hesabu then umwajiri?
usikate tamaa ndugu, umesoma course nzuri sana and marketable, hata waliosaidia revolution huko ulaya na marekani ni sociologist so jiamini tuma maombi kwenye Ngos, banks,na taasisi za serikali zenye vitengo vya ustawi wa jamii au maendeleo ya jamii, pia uwe mvumilivu.all the best!!