Aziz ki pole sana

Wewe hujui MPIRA.
Hujui lolote kuhusu mpira wa miguu. Una bweka tu.
Mtu aliyesajiliwa juzi tu una muhukumu.
 
Pengine hapa ana uwezo ila kuke amekutana na waliomzidi, ni swa na mtoto wa kayumba umshindanishe na mtoto wa international school, tumpe muda atakaa sawa
 
Hayupo daraja la kina Messi kwamba aulizwe Leo tukupange au laah. Ni mchezaji anayetarajiwa kupigania namba. Hivyo atapigania namba tu kama ilivyo kawaida.
 
pole ya nini,kocha wala hajawafahamu wachezaji wake vizuri we subiri waende pre season uone
 
Mjifunze,
Na kama hamtojifunza watawafunza wao
 
Member mnashida sana yani ww unata afke na kuanza ww ulisikia wapi ?
 
Na yeye kwanini alienda? Si angelibaki kwa wabovu wenzie wa Yanga huku yeye akionekana staa?
 
Ndio kwanza kasajiliwa juzi mshaanza kulalamika. Kumbuka siyo kwamba wamemsajili kukiwa hakuna wachezaji wengine kwenye nafasi hiyo.
 
Huwezi fika na kupewa dk zote 90. Ikitokea hivyo jua kikosi cha hiyo timu hakikuwa na wachezaji. Lazima upewe dakika chachechache kwanza ili uzoee na kuingia kwenye mfumo
 
Yeye aonyeshe uwezo wake hata kwa hizo dakika chache anazopewa, uwezo wake utajieleza na ataheshimika kama alivyofanya Mayele
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…